harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Tumeona yaliyotokea Igunga kwa matukio ya wananchi kuuwawa kwa kuwa wao eidha ni CDM AU ni maGAmba lakini
lazima tukubaliane kwamba kabla ya mtu kuwa CDM Au maGAmba ni lazima kwanza awe Mtanzania mwenye haki za msingi za kibinadamu
sasa watu wanapouawa kutokana na itikadi au ushabiki wa vyama kweli kuna usalama wa Raia na Mali zao hapa...................
Wote wapumzike kwa amani
damu zao hazitapotea kamwe zitazaa matunda
Tz bila magamba inawezekana.......................
lazima tukubaliane kwamba kabla ya mtu kuwa CDM Au maGAmba ni lazima kwanza awe Mtanzania mwenye haki za msingi za kibinadamu
sasa watu wanapouawa kutokana na itikadi au ushabiki wa vyama kweli kuna usalama wa Raia na Mali zao hapa...................
Wote wapumzike kwa amani
damu zao hazitapotea kamwe zitazaa matunda
Tz bila magamba inawezekana.......................