Mtoa mada anahoja sema tu amekerwa na yaliyomkuta. Mimi naona kweli kuna sehemu ukienda unapata huduma vizuri kwa card za NHIF na kuna sehemu ukienda na card hizi unwekwa kando kiaina flani hivi. Lakini kusema kweli NHIF imesaidia sana katika kuokoa wale ambao si kila mara unahela mfukoni.