1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM ,aliunda timu za aina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake ya uharamia ambayo aliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombea wenzake na mojawapo ni hii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutoka kule Bagamoyo.
Huyu alinunuliwa gari aina ya Nissan patrol ,na ndio mwanzo alitumika kupita kwenye misikiti mbalimbali na kutengeneza mtandao wa kiislamu,ila huyu Gogo ndio alihusika na aliongoza kikosi kilichohusika kumpora mke wa mzee Malecela fedha taslimu zaidi ya milioni mia mbili wakati anatoka dar kwenda dodoma kwa ajili ya kampeni. ENEO LA GAIRO.
Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilango nje kidogo ya mji wa morogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mambo ya ajabu ambayo kwa mtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa.(ushahidi upo na nitautoa muda wowote kama utahitajika hapa ,niandikie kwenye PM yangu.)
Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilango nje kidogo ya mji wa morogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mambo ya ajabu ambayo kwa mtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa.(ushahidi upo na nitautoa muda wowote kama utahitajika hapa ,niandikie kwenye PM yangu.)
1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM ,aliunda timu za aina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake ya uharamia ambayo aliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombea wenzake na mojawapo ni hii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutoka kule Bagamoyo.
Huuu ni uzushi tena ujinga wa hali ya juu sana, muungwana alikuwa akiutmia pesa hakuwahi kutumia mbinu za kijinga kama hizi, majmbazi aliompora hela mama Kilango, wote wako jela na wote walikuwa wakazi wa Morogoro, kiongozi wao ambaye jina lake sio Gogo kama unavyosema, alikamatwa akiwa amelala ndani ya nyumba moja kule kijijini karibu na mahali ulpofanyikia ujambazi huo,
Ni kweli kuna machafu mengi sana muungwana aliyafanya kwenye uchaguzi, so hata wagombea wengine pia, lakini haya ni uzushi wa kitoto tena usingeruhusiwa kuwekwa hapa JF, maana ni too low, mbinu zote za muungwana na urais tuliziweka kule BCS tena zote hata kabla hazitolewa na media yoyote ile, huu wako mkuu ni uzushi na uongo wa kitoto sana, uliza unaweza unaweza kusaidiwa ukweli!
Ahsante Tena Mkuu!
Joto la uchaguzi kwa nafasi ya uenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Bagamoyo limepoa baada ya jina la mwanasiasa machachari aliyerejea CCM mwaka juzi akitokea Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mkoa wa Pwani, Kassim Gogo kuenguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa.
,Mkuu unayeeneza hizi sumu hapa, kama una tatizo na mama kilango, basi jaribu kutafuta ukweli wa mapungufu yake uyaweke hapa, mama Kilango ni bin-adam kama sisi wengine wote ana mapungufu mengi sana kama huyajui unaweza kuuliza ukapewa, ili umchafue kuliko kujaribu kuihadaaa hii forum na maneno ya uongo
Alizitoa wapi?Kikwete alishidna urais kwa kuwa na hela nyingi za kampeni kuliko wagombea wote,
,
Kazi ipo......
Alizitoa wapi?
Mkuu kama kweli una ushahidi wa haya maneno ni-pm, otherwise wewe ni muongo na mzandiki mkubwa sana, kilichotokea hasa ni kwamba:-
1. Majambazi waliweka misumari, gari la mama Kilango likapata flat, ndani ya gari kulikuwa na dreva wa Mzee Malecela, anayeitwa Mzee Habibu ambaye amekuwa akimuendesha Mzee for the last 30 years, pia alikuwemo mtoto wa Mama Kilango anayeitwa Edwin Nyange.
2. Majambazi walikuwa karibu 7, ndani ya gari kulikuwa na masanduku mazito sana yenye bidhaa za biashara ya Mama Kilango, kule Dodoma majambazi wakayajaribu wakashindwa hata kuyasogeza toka ndani ya gari, wakaamua kuyaacha.
3. Wakadai hela toka kwa Mama Kilango, akawapa pochi yake iliyokuwa na shillingi laki tatu tu, wakachukua simu yake ya mkono, na simu ya mtoto wake ya mkononi baada ya kumpiga kwanza na kumvunja mkono kwa sababu alikataa kutoa simu, pia walimpiga sana Dreva Mzee Habibu ambaye naye aligoma kuwapa simu na hela.
4. Wakiwa wanampiga Dreva Mzee Habibu, likatokea Lori kubwa sana likiwa linakuja kwa kasi, majambazi wakakimbia porini na kujificha wakisubiri lipite, lakini Mama Kilango akapungia mikono na lile lori likasimama mbali kidogo na watu wenye silaha ktuoka kwenye lile lori wakaja pale, ndipo majambazi walipokimbia kabisaa, na ndani ya lile Lori kulikuwa na kaka wa Rostam, ambaye ni mfanya biashara maarufu wa malori makubwa ya usafirishaji, ambaye ndani ya malori yake husafiri na walinzi wenye silaha, ndio aliyemuokoa mama Kilango, sasa kama mama alibakwa kama unavyodai huyu kaka wa Rostam ndiye angekuwa wa kwanza kusema, ndiye aliyewapeleka Morogoro Mjini, na muda si mrefu askari wengi wakaja lile eneo kuwaska wale majambazi.
5. Simu ya mtoto wa Mama Kilango, ndiyo iliyowaponza wale majambazi ikiwa ni pamoja mbwa wa polisi, ambao walikwenda mpaka kumkuta jambazi mmojawapo akiwa amelala ndani ya nyumba, wengine walikammatwa wakiwa tayari kwenye mabasi wakielekea Dar, baada ya polisi kufuatilia mawasliano ya simu za mtoto wa mama Kilango, na ile ya Dreva Mzee Habibu, walizowapora na kuanza kuzitumia, majambazi wote walirudishwa Mrogoro na kufikishwa mhakamani, ambako walijitetea wenyewe kama mawakili wao, sasa kama kungekuwa na ubakaji basi haya yangessemwa wazi hapa, kwa sababu at one point majambazi wenyewe kwa wenyewe walianza kugeukana, mbele ya sheria, haikusemwa hata mara moja!
6. Huu ulikuwa ni wakati wa kuelekea uchaguzi wa rais, ambako kambi mbili ya Malecela na Muungwana zilikuwa zinachuana kila kona, ni wakati huu Rostam alimnunua muandishi mmoja na kumpa maneno ya kuandika against mama Kilango, alichosema ni kuwa Mama Kilango, alienda US kutengeneza sura yake kama Michael Jackson, akijitayarisha na u-first lady, sasa knowing kwamba ni kaka yake yeye Rostam ndiye aliyemuokoa Mama Kilango na majambazi, alishindwa nini kusema kuwa alibakwa pia kwenye kuvamiwa na kaka yaka ndiye aliyeona? Nani angebisha?
Mama kilango, alichofanya ni kumfuata Rostam bungeni na kumwambia kuwa waambie waandike tena kuwa niliuytmia dola laki moja kutengenza sura maana wamekosea kuandika, na Rostam akajaribu kujitetea sana kuwa hahusiki na hiyo article.
That is the end of the truth ya hii story, na kesho yake tena majambazi wengine hapo hapo wakamshika Makongoro Nyerere na kumpora kila kitu, sasa je yeye hawakumbaka?
Mkuu unayeeneza hizi sumu hapa, kama una tatizo na mama kilango, basi jaribu kutafuta ukweli wa mapungufu yake uyaweke hapa, mama Kilango ni bin-adam kama sisi wengine wote ana mapungufu mengi sana kama huyajui unaweza kuuliza ukapewa, ili umchafue kuliko kujaribu kuihadaaa hii forum na maneno ya uongo, Kikwete alishidna urais kwa kuwa na hela nyingi za kampeni kuliko wagombea wote, haya mengine ya ujinga ujingani uzushi mtupu, muwe mnauliza ili msaidiwe kuelewa, maana wenye ukweli siku zote wapo hapa JF,
Mkuu kama una ushaidi zaidi naomba uniwekee kwenye PM, halafu nikupe namba ya kaka wa Rostam aliyemuokoa mama Kilango, ili akueleze alimkuta katika hali gani, pia nitakupatia na namba za wale walinzi wake aliokuwa nao kwenye gari maana wote walihojiwa mkuu na maaandishi yapo wazi kule polisi!
Acha uzushi huu uwanja ni mkubwa sana na mpana sana mkuu na hizi sumu zako!
Ahsante Mkuu!
Haya...Na hapa kuhusu ccm kupewa pesa za mgaidi na ndiyo maana wakauza uhuru wetu utabisha?
Through accounts of the Laurent Kabila Foundation
Trends is in possession of copies of correspondence, dating from November 2005 to May 2006, between the Iranian company Saman Cheshemen Mines of Iran and Wieland Lufttechnik GmbH of Erlangen, Germany, about the purchase of the radioactive material U-235 (shipments carrying the numbers 388420-11B-111, 367080-41B-122 and 386730-MB147). Several sources contend that these documents are authentic and that Wieland is active in Tanzania and that it has a representation in Lubumbashi.
In the letters between the Iranian and the German companies incredible amounts of up to 2 billion USD are mentioned. One B. Bergmann of Wieland's export department writes that he has "received the funds from Saman Cheshemen" and mentions in passing that "the work in Tanzania is well under way".
According to these documents, one John Kahozi, who is said to be a confidant of the Congolese president, travels between Teheran, Dubai and Harare to handle the financial side through the Iranian Melly Bank, Refah Kargavan and Bank Mellat.
The sums (according to those documents) passed through accounts of the Mzee Laurent Désiré Kabila Foundation to the account of John Kahozi with the Dubai Islamic Bank.
According to our sources, part of the bank transactions also passed through the Commercial Bank of Dubai to the account of the trading company Congo Futur in Kinshasa.
Our sources maintain that, on November 12 of last year, John Kahozi staid at the Overview hotel in Dubai and from December 2 to 6, 2005, in hotel Azadi in the Iranian capital, having accompanied a consignment through Zambia.
In Teheran Kahozi was joined by the Indian subject Praveen Kundou, an acquaintance of Katumba Mwanke, the special advisor to president Joseph Kabila. Allegedly Kahozi also has been seen in Meikles, the top hotel in Harare, Zimbabwe.
Twelve shipments to Iran since 2002
4. Fedha chafu.
Kikwete aliingiza nchini kiasi kikubwa sana cha fedha chafu kutoka kwenye nchi za uarabuni na nyingine alizitoa Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo (DRC)kutoka kwa Joseph Kabila na fedha hizi ziliingizwa kupitia mkoani Kigoma na nyingine ziliingilia mkoani Mwanza .
Ujumbe wa watu wa kongo uliongozwa na Luten Jenerali Peter Gessimba Gabonne akiwa na wasaidizi wake watatu ambao walikuwa ni viongozi wa jeshi tiifu kwa Kabila.
Fedha hizi zilitolewa kwa masharti kuwa endapo angeshinda ni lazima ahakikishe kuwa Kabila naye anashinda kule Congo kitu ambacho alikifanya na hata kutumia pesa za taifa hili kwa ajili ya uchaguzi wa congo kwa wale mnaokumbuka Asha Rose Migiro alisema kiasi cha pesa zilizotolewa na misaada mingine ..
Mkuu kama una ushaidi zaidi naomba uniwekee kwenye PM,....
FMES hapa ndipo ulipoharibu, wewe sumu zako za ushahidi umezianika hapa jamvini na kila mtu kazisoma, kwanini basi usimpe huyu bwana nafasi ya kuanika kila kitu hapa kama ulivyofanya wewe na badala yake unataka akutumie PM?
Wewe Kuhani una Pumba sana!
Sasa wale wenye kuwa discriminate wachagga ndio SIMBA?
UANAOTA WEWE!
Unataka kujifanya kuwa Waarabu hawana vibaraka wao wenye kupenyeza chuki ZA KIKABILA NA KIDINI?
Kwamba wakristo na wachagga ndio wabaya na mafisadi?
Kuna watu wenye chuki na wakristo na wachagga kama hapo Dar wanaopaliliwa na RA?
Kama ni mbaya acha iwe mbaya!
Ila Ukoloni mimi niwe mchagga ama si mchagga tutaupiga vita!
Usijifanye hujuwi wewe!
Watu wenye Ukabila wako wazi!
Mimi mwenyewe nimesha kuwa discriminated na nina ushahidi mkubwa sana tu!
Na nitahakikisha ninauweka wazi!
Iko siku yake...Tuombe uzima!
Hivyo wewe hujui kuwa chuki dhidi ya wachagga na wakristo iko wazi!
Hizi ni mbinu na kama kuna wale wanaowachukia wachagga halafu wanajiita SIMBA...Basi wajiulize mara mbili mbili maana halisi ya KUWA SIMBA!
Kilichoko off topic ni nini?
Are you sure ni mimi Kana-Ka-Nsungu?