jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,482
- 21,480
Hivi na huyo Gogo ni nani?
Ni usalama wa Taifa ama mtoto wa Kigogo?
Hayo mambo ya ajabu aliyofanyiwa mama yetu Killango kama ni kubakwa...Basi NCHI ITAMWAGA DAMU!
KAMA MAMA KILLANGO ALIBAKWA SERIKALI IJIUZULU MARA MOJA LA SIVYO VITA NA IANZE!
Huu NI UHUNI ULIOKUBUHU NA UMAFIOSO!
Watanfanyiaje mama wa atu matendo maovu jamani!
Hivi kweli Mungu yupo?
Ni usalama wa Taifa ama mtoto wa Kigogo?
1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM ,aliunda timu za aina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake ya uharamia ambayo aliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombea wenzake na mojawapo ni hii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutoka kule Bagamoyo.
Huyu alinunuliwa gari aina ya Nissan patrol ,na ndio mwanzo alitumika kupita kwenye misikiti mbalimbali na kutengeneza mtandao wa kiislamu,ila huyu Gogo ndio alihusika na aliongoza kikosi kilichohusika kumpora mke wa mzee Malecela fedha taslimu zaidi ya milioni mia mbili wakati anatoka dar kwenda dodoma kwa ajili ya kampeni. ENEO LA GAIRO.
Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilango nje kidogo ya mji wa morogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mambo ya ajabu ambayo kwa mtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa.(ushahidi upo na nitautoa muda wowote kama utahitajika hapa ,niandikie kwenye PM yangu.)
Hayo mambo ya ajabu aliyofanyiwa mama yetu Killango kama ni kubakwa...Basi NCHI ITAMWAGA DAMU!
KAMA MAMA KILLANGO ALIBAKWA SERIKALI IJIUZULU MARA MOJA LA SIVYO VITA NA IANZE!
Huu NI UHUNI ULIOKUBUHU NA UMAFIOSO!
Watanfanyiaje mama wa atu matendo maovu jamani!
Hivi kweli Mungu yupo?