The end has come for our beloved CCM, yaani hawana akili. Mimi nilidhani kuwa wamejifunza kumbe ni mazoba wakubwa. Wamesahau kuwa hizi ni zama nyingine kabisa.
Naombeni mnijuze jamani,
Hivi Chadema nao wanaweza kusimamisha mgombea wa spika kwa mujibu wa katiba? Maana CCM hakuna spika hadi hapo tu!