kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kuliko kuwa mwanaCCM bora kufa tu.
Nilishawahi kujitahidi kujaribu kuwapenda lakini wapi lakini nashindwa
Wametutalawa kama mifugo kwa miaka 60 huku wakijiona wao wapo juu ya dola na wakilitumia jeshi la polisi kututawala kimabavu
Ccm bila polisi na Idara ya Usalama wa Taifa hawawezi kusurvive
Nakichukia hicho chama na sitokaa nije kuwa mwanaCCM sio mimi tu hata familia yangu, ni bora watoto wangu wasijihusishe na siasa kabisa na kutofungamana na chama chochote kuliko kuwa ccm.
Bora nife kuliko kuwa CCM
Nilishawahi kujitahidi kujaribu kuwapenda lakini wapi lakini nashindwa
Wametutalawa kama mifugo kwa miaka 60 huku wakijiona wao wapo juu ya dola na wakilitumia jeshi la polisi kututawala kimabavu
Ccm bila polisi na Idara ya Usalama wa Taifa hawawezi kusurvive
Nakichukia hicho chama na sitokaa nije kuwa mwanaCCM sio mimi tu hata familia yangu, ni bora watoto wangu wasijihusishe na siasa kabisa na kutofungamana na chama chochote kuliko kuwa ccm.
Bora nife kuliko kuwa CCM