- Thread starter
- #41
kufuga kuku wa kienyeji si kigezo cha Ukulima
Kilimo kwa tanzania ni pamoja na ufugaki mdogo mdogo na mkubwa.....kwangu mimi nikimtembelea mkulima kama atanipa zawadi najua ni kuku au zao lolote la shambani iwe gimbi. mhogo hata bamia....hizo ndizo bidhaa zake za haraka haraka
mix with yours