Kweli nimepatikana siamini

Hata mie nimeona . ..acha nipige chini tu...moyo inabidi uelewe tu
Aiseeh umeniangusha sana kama umeshindwa kujitosa kwa huyo jamaa naomba na Hilo jina lako ulibadilishe badala ya "lady in action" bora uitwe "lady in nothing" hapo tutaenda sambamba jina litasadifu matukio [emoji26][emoji26]
 
Hakuna mwanamke anaweza kuchomoka mwanaume akijifanya expensive. Wanawake ni viumbe wepesi sana.....ukiwajulia lakini!!!! Pesa ni zana muhimu sana lakini inatusaidia wanaume pale tu tukiweza kuitumia kwa akili. Kuwa na pesa halafu ukambwela nazo demu anakuchuna gemu hakupi. Kuwa na pesa, halafu jiweke kinamna.....utazikimbia mbunye.
 
Hakuna mwanaume rijali kamili ambae haumizwi kichwa na mwanamke. Kama sio wewe basi kuna mwingine anaemuumiza kichwa tena vyote viwili cha juu na chini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Bidada hajielewi kimahaba hadi kuchambua kwa kina kauli zake anashindwa...
 
Anaweza maliza miezi 6?

Kama hadi unajua hii routine mpaka sasa hivi ulitakiwa ujue kama anakupenda au hakupendi.
Na muda wote huo hajaonyesha kua ana mtu?

Kama hajakuonyesha na mnafanya kazi airport huyo jamaa namjua ni choko
Umeongea point, kuna jamaa yuko humu kazini anaheshimika sana, ni mpole hana mazoea kabisa na wanawake. Lakini ni choko kabisaaa, nilishangaa aliponilazimisha nimtigo nilichoka nguvu mwili wote ukawa na ngazi
 
Hayo ni maongezi anakuambia kua anamda flan hajaingia watsap...ni mtu msiri sana na makini na mambo yake so ni ngum kumjua anakupenda au lah! Japo nikimaliza cku cjamtafuta hua analalamika mbona umenitenga Sijui nn yaan Mimi hata simwelew asee
Huyo jamaa ni choko serious ebu fanya research kidogo uone.
 
Ucja
Aiseeh umeniangusha sana kama umeshindwa kujitosa kwa huyo jamaa naomba na Hilo jina lako ulibadilishe badala ya "lady in action" bora uitwe "lady in nothing" hapo tutaenda sambamba jina litasadifu matukio [emoji26][emoji26]
Ucjal bado nasoma upepo ..hapa nitamwambia kwa vitendo tu...nimemtext naumwa mgongo kaniambia anakuja home kunisalimia.....hapa naandaa diclopar gel akija nimwambie anichue mgongo hope utakua mwanzo mzuri...ha ha ha
 
Nakuonea huruma kweliii hao wapole/wakimya ndo wabaya hatari......
uje kuleta marejesho hapa baadae!!!
 



Mwambie hisia zako
 
ujasiri uliotumia kutuelezea hapa ndivyo hivyo unatakiwa uutumie kumwandikia ata sms umwambie hali uliyonayo!

wala usiogope, uyo jamaa ni mzito wa hayo mambo atakubali tu
 
na yeye huko anawaza ataanzaje kukuambia!
so mwambie tu
 
Sikia bi dada, huyo jamaa hamna haja wala ya kumwambie, fanya kitu moja sisi wanaume tunapenda, onyesha kumjali, onyesha kumpenda kutoka moyoni. Automatic mtajakuwa wapenzi bila hata mmoja kumwambia mwenzie.
pia jitahidi kumfanyia vitu kam kumtumia zawadi...kumshtukiza siku yake ya kuzaliwa kumfanyia vitu tofauti ukiweza hata kumtoa dinner na kumpatia zawadi lkni mkiwa sehem ya wazi tu sio ilojificha pia endelea kuonesha unamjali na upo karibu naye zaidi but usithubutu kumtamkia kam ni mwanaume anayejitambua na kujali lazima ataelewa tu fanya vitu kwa vitendo tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…