Kweli Mimba Kiboko

Kweli Mimba Kiboko

Mkuu umesoma vizuri habari ha huyu dada jinsi walivyokuwa wakiishi na huyo mpenzi wake kabla hajamtundika mimba? ..........
Sikuona pahala anaposema alikuwa na POCHI ila alikuwa na mahaba niue. Katika ujumbe wangu nilisisitiza msimamo wa Lara 1 na Miss Chagga kuwa mwanaume pochi, huu ni msimamo mchungu kuliko muarobaini kwetu sie ambao kipato ni kidogo ila tunapenda kuwa na wapenzi. Kwa maelezo zaidi endelea...... https://www.jamiiforums.com/mahusia...umbele-chako-katika-mapenzi.html#post10677094
 
Ushauri wa namna hii ni hatari, kwani wazazi wake ndo waliompa mimba? Hivi unadhani mtoto akikua hatamtafuta BABA (biological father)? Ni jukumu la Baba kulea mtoto wake. Pamoja na kuwapinga sana akina Lara1 (Free P) na Miss Chagga kwa kudhani kufikiria kuwa mapenzi hayahitaji pesa, kwa hili nakubaliana na usemi wao kuwa mwanaume pochi. Pamoja na yote msichana lazima aangaze mbele kabla ya kuingia mahusiano (Je, ukiibeba ataweza kuitunza?) inawezekana kweli Kijana hana uwezo wa kutoa 25,000, hivyo msala unaenda kwa msichana.

Kwa hiyo Kama huyo jamaa Hana msaada wowote Na keshamtia mimba binti unataka huyo mwanamke aendelee kumbembeleza ama. Hapana Kama Ni mtoto watatafutana akiwa mkubwa kwa sasa Ni kukata mawasiliano huyi dada apambane mwenyewe.
 
Oh my goodness...! Hivi ndivyo tunavyobambikiwa mimba..duh!!

Kama mtu hujawahi kumvua pichu af akasema ana mimba yako huyo kweli kakubambika aisee lkn as far as ulishamvua bas u are responsible no matter what....
 
mwambie aende nayo tu nyumban huyo si msom angekua msomi hyo mimba asingepata mpmbv kabxa hana akili kama ndo mwanangu hata ndoto za kulid hom hawez ota wallah nakwambia njia kibao za kuzuia mimb yy yupo nyuma nyuma ka koti kwanza bora hata kapata mimba koz angexoma angefel tu kwa jnc alivo mpe asome mwenyew KUNA W/KE HATA WAMALIZE DGREE 10 kurubuniwa kupo pale pale
 
ahahahahahaahaha umeipenda signature hiyoooo enh ukweli ndo huo nyie mnajitia janja janja sanaaaa
asiye kupenda hana alama.................... akishakutenda ndo utaisoma. Hapo rafikio alikuwa anatumiwa tu. Sijui lini mtastukia hizi janja za sisi wanaume.

cc: mamaafacebook
 
Teh teh teh Kiukweli nimefall in love with that signature of yours...maneno machache ila yamebeba ujumbe mzito
ahahahahahaahaha umeipenda signature hiyoooo enh ukweli ndo huo nyie mnajitia janja janja sanaaaa
 
Teh teh teh Kiukweli nimefall in love with that signature of yours...maneno machache ila yamebeba ujumbe mzito

wow really??? kwa anelewa atajua nina maana gani kwa asie elewa ataona ni maandish tu ambayo hata kwenye kanga yapo....
 
Yeah, really. Wale wanaosoma between the lines na kudadavua wanavyovisoma watakuwa wameelewa.

wow really??? kwa anelewa atajua nina maana gani kwa asie elewa ataona ni maandish tu ambayo hata kwenye kanga yapo....
 
hayo ndo majanga ya "mahaba nikomeshe"...... ushauri ni bora amwambie ndugu yake yeyote mmoja kwa siri ampe nini cha kufanya huku na yeye awe ndo anatoa ultimate decision
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom