We mtoto imekuwaje kuniacha hivi? Imeniuma sana.
Jamani nafsi inaniuma kila siku kwa yanayomkumba rafiki yangu, zamani baby nyingi, mwanaume anamtungia mwanamke uongo aende akalale kwake.
Kinga hataki eti me siwezi kutumia kinga kwako leo kapata mimba hata salamu hapewi mwanaume matusi kutwa kisa kaombwa pesa ya hosptali, rafiki yangu kaandikiwa sindano tano moja elfu tano.
Mwanaume kataka kujua jina la sindano kupewa tu anaanza wewe umeshaanza tamaa toka ufike chuo, mie sina hela kila mtu ajue muelekeo wake naumia jamani rafiki yangu anataka kupostpone masomo.
Mimba changa inamsumbua kafata ushauri wa kuto toa mimba ila anafikiria ataanzaje kujipeleka nyumbani nisaidieni na hili niweze kumshauri mema.
Kweli watu tunatofautiana sana, wakati mi nipo kwenye mgogoro na mpenzi wangu katoa mimba wengine wanazikimbi!!
Mkuu hapa umetaja mtu mwingine kabisaa
Na mna miguu miwili na nusu....Ndo wenyewe wote tunavaa suruali mita moja na robo
umeanza mamitoHawa ndiyo wanaume bwana
Acha roho mbaya mbona wenzako wanaosha hadi watoto wa wanaume wenzao:Noma sana mimi mwenyewe niko kwenyeihusiano na mtu ambae anamimba ya mtu mwingine alitaka kunibambika ila mimi nimemwambia koma cwezi lea mimba ya mwanaume mwenzangu ushauri wangu ilee hiyo mimba mpaka mwisho mtoto akikua jamaa atakuja mwenyewe kutafuta mtoto hapo ndo utambana
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ushauri wa namna hii ni hatari, kwani wazazi wake ndo waliompa mimba? Hivi unadhani mtoto akikua hatamtafuta BABA (biological father)? Ni jukumu la Baba kulea mtoto wake. Pamoja na kuwapinga sana akina Lara1 (Free P) na Miss Chagga kwa kudhani kufikiria kuwa mapenzi hayahitaji pesa, kwa hili nakubaliana na usemi wao kuwa mwanaume pochi. Pamoja na yote msichana lazima aangaze mbele kabla ya kuingia mahusiano (Je, ukiibeba ataweza kuitunza?) inawezekana kweli Kijana hana uwezo wa kutoa 25,000, hivyo msala unaenda kwa msichana.Achana nae huyo mwanaume wala usimtafute mimba usitoe waeleze home ujipange mwenyewe. Yote yatapita huyo f.ala mpotezee mazima
Ushauri wa namna hii ni hatari, kwani wazazi wake ndo waliompa mimba? Hivi unadhani mtoto akikua hatamtafuta BABA (biological father)? Ni jukumu la Baba kulea mtoto wake. Pamoja na kuwapinga sana akina Lara1 (Free P) na Miss Chagga kwa kudhani kufikiria kuwa mapenzi hayahitaji pesa, kwa hili nakubaliana na usemi wao kuwa mwanaume pochi. Pamoja na yote msichana lazima aangaze mbele kabla ya kuingia mahusiano (Je, ukiibeba ataweza kuitunza?) inawezekana kweli Kijana hana uwezo wa kutoa 25,000, hivyo msala unaenda kwa msichana.
Sasa shem,mbona haya mambo umeyaleta huku? Unadhani itasaidia nini?Jamani nafsi inaniuma kila siku kwa yanayomkumba rafiki yangu, zamani baby nyingi, mwanaume anamtungia mwanamke uongo aende akalale kwake.
Kinga hataki eti me siwezi kutumia kinga kwako leo kapata mimba hata salamu hapewi mwanaume matusi kutwa kisa kaombwa pesa ya hosptali, rafiki yangu kaandikiwa sindano tano moja elfu tano.
Mwanaume kataka kujua jina la sindano kupewa tu anaanza wewe umeshaanza tamaa toka ufike chuo, mie sina hela kila mtu ajue muelekeo wake naumia jamani rafiki yangu anataka kupostpone masomo.
Mimba changa inamsumbua kafata ushauri wa kuto toa mimba ila anafikiria ataanzaje kujipeleka nyumbani nisaidieni na hili niweze kumshauri mema.
Oh my goodness...! Hivi ndivyo tunavyobambikiwa mimba..duh!!Mkuu umesoma vizuri habari ha huyu dada jinsi walivyokuwa wakiishi na huyo mpenzi wake kabla hajamtundika mimba? Na kwa habari ya kumlazimisha mtu kutoa matunzo mi naona sio ishu kabisa.....mimi binafsi mtu akikataa mimba yana nakata connection zote...nafuta nadelete kabisa kumbukumbu zinazomuhusu yeye....af namtumia ujumbe mzito.... Namwambia "naomba unisamehe kiukweli kabisa hii mimba si yako niliipata kwa mtu mwingine tu ila niliamua kukuambia wewe kwa sababu baba wa mtoto niliona hana mbele wala nyuma...nikaamua niilete kwako maana niliona wewe angalau uko stable financially....ukizingatia mi ni mwanafunzi sina msaada mwingine wowote....ila nimekuta nafsi yangu inanihukumu sana kwa hilo....naomba unisamehe sana"
Then baada ya hapo najifunga mkanda...bum si nnalo??? Liwalo na liwe nasonga mbele kivyangu nalea mimba mpaka mtoto....