kama hayana raha basi watu wangechukua tahadhari kabla ya kukutwa...
Ahhhha nimeelewa
Mimba ina bahati mbaya kweli?
Una akili sana weye...!Mmnh...Ukibeba mimba ya mwanaume ambaye hajakuoa ujiandae kwa mengi. .!!
Una akili sana weye...!
Ukijibebesha mimba kwa mtu asiyejulikana kisheria una tabu, jiandae kwa mengi...!
Eti ukijibebesha....unajibebesha au unabebeshwa?
yupo mzumbe MorôNataka kujua yupo chuo gani ili nimwelekeze kwa dr amsaidie kwa ukaribu.
Mimba ina bahati mbaya kweli?
Unajibebesha coz wewe nio mwenye dhamana ya mwili wako...!
Kama hutaki kujibebesha una njia mbili;
1. Usifanye ngono kabisa...!
2. Usifanye ngono zembe...!
Zaidi ya hayo unajibebesha...!
Hao ndio wanaume usipowajua lazima uchizike ila mwambie rafiki yako atulie tu alee mimba yake na awaambie tu wazazi wake maana imeishatokea wanaweza kumsaidia kama jamaa anazingua
my frnd bhana,,,, alimpenda sana dat guy,,,, na mvulana pia alikuwa hasikii chochote kwa mwanamke,, sa cjui kakumbwa na shetani gani? au ndo mimba changa na yeye,,,,