Shida ya Marangu na Rombo huwa mnaona vizuri kilele cha mawenzi( kisichokuwa na Barafu) kushinda Kibo.Mkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana
View attachment 1613944
Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi
Ni Mailisita sio mile sitaUkisimama pale KNCU unauona, Ukiwa Mweka pale Chuoni unauona, ukiwa TPC kule unauona, Ukiwa Mile Sita pale Weruweru unauona.
Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
Nilijua ndio inavyoandikwa mkuu.Ni Mailisita sio mile sita
Karibu kwetu
ππππππHapohapo boma mlima unaonekana,pengine mawingu yamekuzingua, wahi kesho mapema
Mkuu nimekukubali sana kwenye kufoka, nadhani ingekuwa ana kwa ana ungemsindikiza na kibao kabisa!Hii akili ya uhujumu uchumi. Yaani unashauri watu waende Kenya kuangalia Mlima Kilimanjaro? Wewe una akili wewe? Hii ndo elimu uliyopata miaka yote wewe shetani? Unawezaje shauri mtu akaangalie mlima k.njaro kenya? Nyie ndo Wasaliti wa nchi hii
Hapo ni Kibosho umbwe, Kilimanjaro Tanzania.Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
Acha urongo bwashee..Hujaacha tu kuongea pumba!!? Nipo ushirika hapa nauona kama upo kwenye mpapai.
Usiache mwaka huu upite bila kupata bwana. Ulichoandika hapa ni sawa na mwingine aseme "ukiwa tanzania ndiyo unaiona mbuga ya serengeti."Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
Mt.kili ni upi Kati ya hii miwili??Mkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana
View attachment 1613944
Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi
Unanifokea?Hiv post yang imekwambia Leo au nimezungumza uhalisia kuwa nipo nafanya kaz ushirika na huwa tunauona!!
Unataka kunibishia kuwa ukiwa ,ushirika, rau madukani, kcmc,mwenge hauonekani!!?
Uwe unasoma kwa makini kabla hajjanijibu
ππππππAmakweli hii nchi ya ajabu sana....
Yaani watu tunatafuta Rais wewe unatafuta Mlima...
Mlima kilimanjaro ni mmoja..Mt.kili ni upi Kati ya hii miwili??
Na huo mwingine unaitwaje?
Jiwe anafokewa, ulisikia wapi.. Eti?!!Kama jiwe tu anafokewa sembuse wewe maana umekuja juu utadhan nilikuw natoa dhahania vile
I miss you my better half...ππππππππ