Kweli Lema ni kiboko

Arusha kama miji yote duniani inaendeshwa kwa sheria. Kwa hali ilivyo sasa, kila mtu anaweza kujiamulia kufanya biashara popote pale anapotaka hata katikati ya barabara bila kuchukuliwa hatua yeyote ile. Hali hii imeachwa kwa muda mrefu kwa sababu ya weakness ya watumishi wa halmashauri na hasa madiwani waliekuweko kwa miaka 15 iliyopita. Madiwani wangeweza kabisa kuwa question ma town inspectors au Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji kwa nini hali hii inaachiwa mpaka sasa imekuwa issue kubwa, eti mpaka wamachinga watafutiwe mahala pengine kwanza as if walikuwa wakifanya biashara zao legally in the first place. Wamachinga na hasa wauzamitumba wana sehemu yao kule Crocon waende huko, wauza nyanya, mboga na matunda waende soko la mianzini, kijenge kuna nafasi tele huko. Hakuna cha nani kasema hivi au vile, ni LAZIMA waondoke Arusha iwe kama Mwanza. Mwanza wamachinga walijaribu kupambana na dola kwa siku mbili tu wakakiona cha moto, sasa hivi Jiji la Mwanza ni mfano wa kuigwa kwa usafi Tanzania nzima. Shida ilioko Arusha ni viongozi wamekuwa waoga mno kufanya maamuzi. Mkuu wa Mkoa anaonekana ni jasiri lakini kwa hili la kukithiri kwa uchafu Arusha naona linamshinda. Ukimchnganya na Meya wa Arusha alivyokuwa incompetent, mdhaifu na mwoga hali hii naona itaendelea mpaka tumpate Paul Kagame wa Rwanda aje na bakora lake hapa ndipo wamchinga, wachafuzi wote wa mazingira, mkurugenzi, meya, wataalam wa halmashauri na hata hao akina Lema na wenzake watajua kuna utawala wa sheria.
 
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?

kisikia nikuambie kiwavi wewe. .I hope hauna uvimbe maskioni kama ulionao tumboni..
Anaongea hivyo kama mpiganaji wa haki za Wanyonge. .
MAKU KOMA mkubwa we. . .
 
Ndo mnavyojidanganya hivyo,labda kama ni rais wa majasusi na wauza unga wa arusha,poleni sana kwa fikira potofu
Kweli nchi hii haina serikali yaani kuna mtu ni raisi wa wauza unga na majasusi halafu halafu anaachwa uraiani..
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

wewe unaandika ki demokrasia tatizo hautendi kidemokrasia. .Yani ukiona tatizo apo. .Utaishia ku visit thread tu!
 
Wakati mwingine lazima sheria zifanye kazi na kufuata mkondo wa sheria... na tuache siasa..

sipingi wamachinga kuondolewa ila nasema halmashauri ya jiji la Arusha ifanye maandalizi yote muhimu na kutenga maeneo ya kutosha ili iweze kuondoa wamachinga mjini.. hata wale wamama kule soko kuu na mabarabarani waandaliwe masoko madogo madogo kusudi watu wajifunze kwenda masokoni na madukani kuliko kununua vitu barabarani.......
 
Kama mwanachi,Raia, Mbunge, kiongozi wa cdm na mwana harakati mpenda maendeleo asiye penda uonevu mwenye kutetea wana nchi na kusimamia haki .Sijui utakuwa umepata jibu la kukuridhisha mkuu.Maana mvaa magwanda siku zote ni mtetezi na mkombozi wa kizazi kijacho. VUA GAMBA VAA GWANDA
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

kwani nae si amechaguliwa..unarapu eee
 
watu waleeeeeeee mtabaki mnapigwa na jua wenzenu wanakula, politics is a wirld gem
 
kama sauti ya wasiokuwa na sauti!
katoa tamko kamaMkuu wa Nchi ya Arusha. Mbona hamshangai Lema kapiga marufuku CCM Arusha kuvaa Kofia na Magamba ya kijani, na kama unabisha tembelea arusha kila kona watu wanavaa Kofia ,skaf and magwanda tu, ni marufuku rangi ya kijani labda zivaliwe magogoni ya monduli juu.
 
Matayarisho ya kuwaondoa yalikuwa bado kukamilika, tarehe imesogezwa mbele wataondolewa tarehe 10 Mei, 2012

Kweli wewe mama maporojo! Haupo tayari hata kusimamia unacho amin? Kipi unacho kisubiria kwa hamu? Kauli Aliyo itoa Lema kufutika au wamachinga kuondoshwa 10th May?

Acheni kutishia watu, hii nchi siyo Mali ya Ccm!
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Dah na wewe una roho ngumu kweli kweli ungekuwa serikikalini ungewauawa wapinzani wako ................serikali ilijaribu kuwafukuza machinga mbeya wakashidwa kumbuka mpaka mbunge wa Sugu akasaidia serikali kutuliza huo moto, bila kusahau mwanza walijaribu wakashindwa sasa kama wameshindwa hayo maeneo unadhani wataweza Arusha ambapo watu wana hasira nyingi mno na ccm
 
Serekali ya arusha waliitangaza kuwa ifikapo tarehe 7.5.2012 wamachinga wote wanapaswa kuondoka kwenye maeneo ya mjini....lema naye akatoa tamko kwenye kampeni ya vua gamba vaa gwanda..kwamba hakuna machinga yoyote kuondoka mjini.sivyo wawapeleke kwenye eneo waliloliuza huko kilombero...mpaka sasa jamaa wanapiga kazi kama kawaida,,big up lema
sifa za kijinga
 
LEMA ALISEMA mimi hawajaweza kuniondoa town kwa hiyo na nyie hamruhusiwi kuondoka hapa a. town

akasisitiza muwe na ushirikiano
 
Back
Top Bottom