Kweli Lema ni kiboko

Kweli Lema ni kiboko

CHEMPO

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
368
Reaction score
60
Serekali ya arusha waliitangaza kuwa ifikapo tarehe 7.5.2012 wamachinga wote wanapaswa kuondoka kwenye maeneo ya mjini....lema naye akatoa tamko kwenye kampeni ya vua gamba vaa gwanda..kwamba hakuna machinga yoyote kuondoka mjini.sivyo wawapeleke kwenye eneo waliloliuza huko kilombero...mpaka sasa jamaa wanapiga kazi kama kawaida,,big up lema
 
:second::second::second::second::second::second::second:
 
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
 
Serikali hii inauaibisha utawala wa JK chini ya ccm, wanataka waondoke halafu watakula wapi? Wanataka wakaibe? Hawaoni watakuwa chanzo cha unyang' anyi na uwizi Arusha?
 
Matayarisho ya kuwaondoa yalikuwa bado kukamilika, tarehe imesogezwa mbele wataondolewa tarehe 10 Mei, 2012
 
Serekali ya arusha waliitangaza kuwa ifikapo tarehe 7.5.2012 wamachinga wote wanapaswa kuondoka kwenye maeneo ya mjini....lema naye akatoa tamko kwenye kampeni ya vua gamba vaa gwanda..kwamba hakuna machinga yoyote kuondoka mjini.sivyo wawapeleke kwenye eneo waliloliuza huko kilombero...mpaka sasa jamaa wanapiga kazi kama kawaida,,big up lema

hiyo kibogo ni kifupi cha kibogoyo siyo...yaani mtu asiye na meno au joka la kibisa????

 
Kama mbunge wa mioyo ya watu wa arusha,,,waguse waone moto wake
 
matayarisho ya kuwaondoa yalikuwa bado kukamilika, tarehe imesogezwa mbele wataondolewa tarehe 10 mei, 2012
tunasubiri kwa mara ya kwanza wanaarusha wakiamishwa ,,kama magufuli alichemka kuvunja yumba za watu maeneo ya mianzini na maeneo ya kona nairob,,,hii itakuwa mwisho wenu
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Hapo kwenye RED... Sio demokrasia ya wananchi, ilikua demokrasia ya NEC, baada ya kuchakachua matokeo 2010, kwa kushilikiana na familia ya mkwe.re ikiwa kinara wa zoezi hilo kupitia ofisi yao pale upanga...
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

wewe ritz, hilo neno demokrasia wenzio ni kama neno lao, kwa masikitiko makubwa huwezi lipata magamba i.e ccm. soma hapa "CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELO" mnapigwa mabao kama demu wa mtungo, kila mkigeuka bao!!!!!!!
 
Back
Top Bottom