Kweli kupaka nyumba rangi kunaficha mambo mengi

Kweli kupaka nyumba rangi kunaficha mambo mengi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,107
Reaction score
55,524
Kuna siku nilihudhuria event moja hivii, tukawa tunahudumiwa na warembo kama watano hivi na walikuwa wamejipamba vizuri kweli; kutokana na kazi ya macho nikuona nikajikuta nawatazama tu, na moyo ukasahau kusukuma damu na ukaanza kutamani.

Baada ya event kuisha nilirudi zangu nyumbani, ila nafsi ilikuwa inanisumbua kwa nini sikuwasemesha! Kesho kutwa yake nakutana nao mtaani, kumbe ni wa kawaida sana. Kweli kupaka nyumba rangi kunaficha mambo mengi
 
Kuna siku nilihudhuria event moja hivii, tukawa tunahudumiwa na warembo kama watano hivi na walikuwa wamejipamba vizuri kweli; kutokana na kazi ya macho nikuona nikajikuta nawatazama tu, na moyo ukasahau kusukuma damu na ukaanza kutamani.

Baada ya event kuisha nilirudi zangu nyumbani, ila nafsi ilikuwa inanisumbua kwa nini sikuwasemesha! Kesho kutwa yake nakutana nao mtaani, kumbe ni wa kawaida sana. Kweli kupaka nyumba rangi kunaficha mambo mengi
"Usimuamini sana mwanasiasa kama ambavyo hutakiwi kumuamini mwanamke mtumia makeups"
 
"Your make up like a mask,tryna hide yourself.
It seems on the outside,you thinking you the shit"-J COLE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom