Kweli kuna wanawake wanaroho mbaya

Hapo vipi

Ukitumia akili ya kawaida na utafiti partial na jinsi unavyoingiza mshedede kwenye hiyo kitu chake hauweza kukubaliana na mimi juu ya hili ila ukweli na fact mwanamke ndio kiumbe namba mojo mwenye roho mbaya Duniani.

Kabla hatujafika kwenye ushahidi niliokutanana nao ..Ngoja kwanza tumungalie mwanamke alivyotafsiriwa na Mungu aliyemuumba mwenyewe.

Kwanza,katika idadi ya mitume mwanamke tunaona hakumtumika sana na Mungu..nadhani anasababu maalum anayeijua yeye kuliko sisi tunayetumia sababu za kisiasa

Mwanamke ndio mtu aliyekuwa chanzo cha tabu na matatizo yote Duniani baada ya kula tunda na shetani.
Tafsiri yake sio muaminifu,msaliti na mdhaifu kutumika na kiumbe mwovu.

Anguko la Somson wa kwenye Biblia ni mwanamke..huyu mtu ni shida

Wachawi wengi hapo Duniani na wanaoharibu jamii ni mwanamke,ndio maana kwa wakristo katika kitabu cha Biblia kutoka 22:18..imeandikwa usimwache mwanamke mchawi akaishi..mwanamke ni wakuwawa kabisa.

Wanataoa mimba na kutupa watoto ovyo jalalani.

Katika hali ya kawaida mwanamke na mwanaume wakifanya kosa kwenye uhusiano mwanaume anaweza kusamehe na kusahau,mwanamke hawezi kusahau kuna siku atalipiza kisasi.

Leo hii kama mwanamke anaweza kuwa na best yake alafu yupo single ila ukijaribu kumuambie akuchezeshea maneno utasikia anamwanaume wake au muambie mwenyewe..ila kwa sisi wanaume ukimtaka mwanamke faster mwanaume mwenzako anakusaidia..huu ni mfano mdogo ila inamaana.

Secretary mwanamke na mwanaume..mwanamke utasikia hamna kazi..mwanaume usijali lete application zako nitafikisha...pambana utafanikiwa.

Ukiangalia kubeba mimba sijui miezi tisa alafu ukamuano mwanamke ni perfect utakuwa mpumbavu wa mwisho..kubeba mimba ni njia kama ya haja kubwa na ndogo inavyofanya kazi...hivyo basi anza kufanya haja kubwa na ndogo inathamani kubwa kuliko akili,jicho n.k

Ndio maama kuna watu walikuja kumuambia Yesu.tanzama mama yako anakutafuta usiku kucha akawapa jibu la kistaraabu kwa kuwaheshimu yakwamba mama yangu na ndugu zangu ni wale tu wanaosikia neno la Mungu.

Ushauri wangu wanaume tujitahadhari sana na wanawake na tuishi nao kwa akili kwasababu mpango wa awali wa Mungu ni mwanaume na sio mwanamke...baada ya ujio wa mwanake amekuwa ndio chanzo cha mwanadamu kwa ujumla kuwa mbali na Mungu ...na amekuwa chachu ya kumzuia mwanaume kuiyona mbigu.

Sura ya mwanamke kwa mwanaume ni sawa na shetani aliyezeeka anayevaasura ya malaika...hiyo ni reception environment ili apate kukuharibu kabisa.

NB.mwanamke ndio mwanya wa shetani kumzuiya mwanadamu kuingia mbinguni au kuharibu mahusiano yake na Mungu...Refer to religions history.
Halafu kuna huyu samia suluhu, aliwahi kuropoka kwamba wao wakitaka kuua hawawezi kukukosa, kweli hawa watu baadhi ni makatili kama baba yao
 
Wewe mlevi na mbinafsi kaa kimya.

Hakuna kitu unaweza sema kupindisha ukweli huu...

Mwanamke wa kiafrika ndiyo NGUZO ya jamii ambayo wewe jinga unaishi ndani yake.
Ukweli upi umeongea hapo zaidi ya propaganda za kishenzi ulizomezeshwa na wana harakati uchwara wa haki za wanawake.

Eti "mwanamke wa kiafrika ndio nguzo ya jamii" halafu "wanaume wa kiafrika ni walevi na wanabinafsi".. pumbavuu kabisaa.

Bila mwanaume wa kiafrika kufanya sacrifices Leo hii hili taifa lingekuwa huru?

Bila wanaume wa kiafrika kulinda mipaka yetu dhidi ya magaidi leo hii wewe na wanawake wa kiafrika wote kwa ujumla mngeweza hata kusherekea Christmas??

Bila mwanaume wa kiafrika leo hii wewe hapo ungezaliwa!?? Na huyo mama yako angejivunia kuitwa mama bila huyo mwanaume wa kiafrika!? Au wewe mwenzetu ni cracker!?

Leo hii hapo wewe na familia yako mkivamiwa na majambazi usiku, mtu atakayejitokeza kuja kuwasaidia obviously atakuwa ni mwanaume huyo huyo wa kiafrika na sio mwanamke wa kiafrika...matako weww

Asilimia kubwa ya dada zako wa kiafrika wanaoishi kwa kuhongwa, wanahongwa na wanaume wa kiafrika.

Kama kweli mwanaume wa kiafrika akiamua awe mbinafsi kwa mfumo wetu huu wa maisha tulionao, basi jamii yetu itapitia kipindi kigumu sana.

Tatizo la nyie watoto wa kiume mliolelewa na " bitter single mothers huwa mnamezeshwa chuki kali sana dhidi ya baba zenu, na bahati mbaya zaidi chuki hiyo huwa aishii kwa baba zenu tu, mnajikuta mnawachukia na wanaume wengine wote.

Hivyo Basi, unajikuta unachukia jinsia nzima ya kiume na kuona wanaume hawana thamani na badala yake unaona wanawake pekee ndio watu wenye thamani hapa duniani.... angalia Kama Sasa hivi tayari umesha aminishwa wanaume wa kiafrika hawana lolote zaidi ya ulevi na wanawake ndio nguzo, kitu ambacho ni upuuzi mtupu.

Again congratulations for your single parent for raising one of the most disgusting simps.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli upi umeongea hapo zaidi ya propaganda za kishenzi ulizomezeshwa na wana harakati uchwara wa haki za wanawake.

Eti "mwanamke wa kiafrika ndio nguzo ya jamii" halafu "wanaume wa kiafrika ni walevi na wanabinafsi".. pumbavuu kabisaa.

Bila mwanaume wa kiafrika kufanya sacrifices Leo hii hili taifa lingekuwa huru?

Bila wanaume wa kiafrika kulinda mipaka yetu dhidi ya magaidi leo hii wewe na wanawake wa kiafrika wote kwa ujumla mngeweza hata kusherekea Christmas??

Bila mwanaume wa kiafrika leo hii wewe hapo ungezaliwa!?? Na huyo mama yako angejivunia kuitwa mama bila huyo mwanaume wa kiafrika!? Au wewe mwenzetu ni cracker!?

Leo hii hapo wewe na familia yako mkivamiwa na majambazi usiku, mtu atakayejitokeza kuja kuwasaidia obviously atakuwa ni mwanaume huyo huyo wa kiafrika na sio mwanamke wa kiafrika...matako weww

Asilimia kubwa ya dada zako wa kiafrika wanaoishi kwa kuhongwa, wanahongwa na wanaume wa kiafrika.

Kama kweli mwanaume wa kiafrika akiamua awe mbinafsi kwa mfumo wetu huu wa maisha tulionao, basi jamii yetu itapitia kipindi kigumu sana.

Tatizo la nyie watoto wa kiume mliolelewa na " bitter single mothers huwa mnamezeshwa chuki kali sana dhidi ya baba zenu, na bahati mbaya zaidi chuki hiyo huwa aishii kwa baba zenu tu, mnajikuta mnawachukia na wanaume wengine wote.

Hivyo Basi, unajikuta unachukia jinsia nzima ya kiume na kuona wanaume hawana thamani na badala yake unaona wanawake pekee ndio watu wenye thamani hapa duniani.... angalia Kama Sasa hivi tayari umesha aminishwa wanaume wa kiafrika hawana lolote zaidi ya ulevi na wanawake ndio nguzo, kitu ambacho ni upuuzi mtupu.

Again congratulations for your single parent for raising one of the most disgusting simps.

Sent from
Well said!!
 
Mkuu hivi unafikiri siku ya hukumu Mungu ataangalia source na siyo impact?

Jiulize kwanini baada ya Adam na Evah kula tunda wote walipewa adhabu na siyo Evah peke yake ambaye ndiye aliyesababisha Adam ale tunda?

Ulichofanya hapa ni kuitupia lawama jinsia ya kike kama ambavyo Adam alimtupia lawama Evah!

Pale alipoulizwa na Mungu kwanini amekula tunda akajibu eti ni huyu mwanamke uliyenipa ndiye aliyenishawishi akidhani kwamba Mungu angempa adhabu Evah peke yake lakini sote tunajua aliwapa adhabu wote wawili!

Evah aliambiwa atazaa kwa uchungu na Adam aliambiwa atakula kwa jasho lake!

Ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na hukumu siku ya mwisho kwa sababu chanzo cha dhambi ni shetani hivyo angehukumiwa peke yake lakini jiulize kwanini hataenda kuhukumiwa peke yake bali wenye dhambi wote (hata kama yeye ndiye aliyewashawishi) nao wataenda kuhukumiwa naye?

Ni kwa sababu Mungu amempa kila mwanadamu (mwanaume na mwanamke) nguvu na uwezo wa kumshinda shetani na kuishinda dhambi kupitia Mungu mwenyewe!

Vivyo hivyo wanaume mna uwezo wa kuvishinda vishawishi vyote vya wanawake na wala hakuna kisingizio chochote chini ya jua kinachowafanya mshindwe kuzishinda dhambi zinazowakabili!

Hivyo endeleeni kudanganyana huku duniani na kuwatupia lawama wanawake tu (kwa sababu ni nature yenu wanaume kutupa lawama kwa wanawake kwenye kila kitu kumbuka ilianzia kwa Adam)!

Lakini kaa ukijua siku ya hukumu kila mtu atahukumiwa kulingana na imani yake na matendo yake hakutakuwa na kutupiana lawama tena eti sijui nani alinisababisha nitende dhambi kwa sababu hata shetani mwenyewe hautaruhusiwa kumtupia lawama sembuse mwanamke!

Kwanini ni kwa sababu Mungu alimruhusu shetani aje kututia majaribuni lakini pia akatupa uwezo wa kumshinda huyo huyo shetani!

Kilichobaki wewe tubu umrudie Mungu wako mkuu kutupa lawama kwa jinsia fulani hakutakusaidia chochote kwa sababu ukishakufa utahukumiwa wewe kama wewe hakuna mtu atakayebebeshwa mzigo wako wa dhambi utaubeba wewe kama wewe!

Wewe ukibaka na usipotubu lazima ukahukumiwe kwa kubaka na hata ukiua na usipotubu lazima ukahukumiwe kwa kuua

Maandiko yako wazi na sheria ziko wazi Mungu alishaviweka tuache kujifanya tunang'ang'ania kurejea maisha ya Adam na Evah kana kwamba tulikuwepo wakati wanatenda hizo dhambi!


Yaani mkuu kati ya majibu yaliyotolewa kwa mtoa post yako yamenikosha. Bado mtoa post utu wa kale upo ndani yake
( Badala kukiri kosa anatafuta wa kumtupia lawama-Adamu)'Huyu mwanamke ulienipa'. Mw: 3:12. Kile kilikuwa kiburi na kukosa utii. Umeshawahi kufikiria kama Adamu angekiri kosa bila kutupa lawama hali ingekuwaje. Naona ndo yaliyomtokea mtoa post bila kuzingatia huyo anayemlaumu(mwanamke) alikuwa na uwezo wa kumtoa mimba au kumwua angali mdogo wala tusingeona post zake za kipuuzi
 
Mheshimiwa mwandika bandiko ulichelewa kuwafahamu Sana,Mimi hata nikimkuta anabakwa napita tu,nawaambia masela waendelee,
Kuna jamaa yangu Fulani bodaboda,alimpa lift mdada kufika maskani kijiweni mdada kaomba kushuka,na akadai chenji,kamjazia watu,Tena alisema ametoa Ela kumi,ikabidi jamaa ampe tu,elfu Tisa,lift katoa,na hela katoa.
Weka mbali na watoto,wanawake kabisa
Sababu uliyotoa ni ya kijinga.
 
Mwanamke nirahisi kumuunganishia Moshe yoyote mwanamke mwenzie kuliko sisi wanaume.

MTU mwenye matatizo ya akili was like hawezi tembea mita 100 akiwa uchi mbele ya wanawake wenzie ila mgonjwa was akili wa kiume anaweza toka mwanza hadi dar bila hata mwanamme mmoja kumpa suruari.

Wanaume tungekuwa tunapendana kusingekuwa MTU anatembea kwa miguu safari ya kuhama mkoa ingari karibu kila gari linalopita linaendeshwa na mwanaume mwenzie. Ila cha kushangaza wanawake ndo hawatembei kwa miguu na hawana magari. Ukienda kuomba kazi kwa mwanaume uko na Dada yako na mko na vigezo sawa basis tegemea dadayako ndo atapata kazi ila we subiri sana
 
Very disgusting.

Nyie matoto ya kiume mliokuzwa na single mothers mlistahili kuwa wanawake tu, sio kwa chuki hizi mlizonazo dhidi ya jinsi yenu.

Anyway congratulations for winning The "Best simp award"

Our dear JF feminists love this post.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
JF imejaa simps kinoma....Halafu unakuta their wildest dreams ni sikumoja kuamka akute PM ya mdada wa JF anamuambia "I rely liked your comment Tukutane Lodge"...pathetic
 
JF imejaa simps kinoma....Halafu unakuta their wildest dreams ni sikumoja kuamka akute PM ya mdada wa JF anamuambia "I rely liked your comment Tukutane Lodge"...pathetic
This forum is full of simps na manginas!!

They can stoop as low as denigrating their own gender just to impress the F-gender with the expectation of hitting some coochies one day.

Angalia Kama mpuuzi mmoja hapo anasema eti wanaume wa kiafrika ni walevi tu na wanawake ndio nguzo ya jamii... That is the highest level of simphood.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Achana na maswala ya kupelekwa Kama kondoo ndugu nawe unaubongo fikiri wanawake nao ni binadamu Kama sisi me.. hakuna cha kusema sijui vile au hivi hizo historia zisikutishe we jaribu kuangalia kosa source yake Kama ni dhambi alianza kuasi shetani na si mwanamke lkn Yule aliemtengeneza huyo shetani akaamua amtupe shetani duniani ambapo ameweka viumbe anaowapenda na kawaumba kwa mfano wake!.. shetani akafanikiwa kumshawishi mwanamke na hatimae mwanaume! Hivi ukifikiri kiundani Kama kweli unakichwa kizuri cha kufikiri utagundua mwanzo wa yote ndie mwanzo wa kila kitu ndugu! Hakuna tabia yoyote kiumbe kinarithi kutoka mahali pasipofahamika isipokuwa kiumbe kinarithi tabia kutoka katika source yake.. pasipo kumung'unya maneno Mungu ndio chanzo cha wema na ubaya! Kama yeye ni mwema tu basi Kuna sifa inapungua kubwa sana ya uweza na utambuzi wa kila kitu na hapo yeye atakuwa si chanzo cha kila kitu maana ukiutenga ubaya hivyo tutasema ubaya hajui ulipotoka hivyo sifa ya ujuzi wa kila kitu na mwanzo wa kila kitu inamvuka!

Shetani tabia ya ubaya alirithi wapi Kama sio chembechembe za sifa toka kwa aliemuumba..? Au unafikiri tabia ya dhambi aliipataje Kama alipoumbwa hakuwa na sifa hiyo..?
Hakuna cha shetani Wala mwanamke mlaumiwa wa kwanza ni source mwenyewe maana hakuna kinachofanyika bila ithibati yake.. ukitumia upeo wa mavimavi hutaelewa nilichoandika..

we jamaa nawewe ni too feminine mpaka unakera....sijui unategemea siku moja wadada wa hapa JF watakuzawadia tunda kisa unawateteaga sana
Tunamzawadia tuu kwani shingapi? Sio mtoto huyo akatangaze
 
This forum is full of simps na manginas!!

They can stoop as low as denigrating their own gender just to impress the F-gender with the expectation of hitting some coochies one day.

Angalia Kama mpuuzi mmoja hapo anasema eti wanaume wa kiafrika ni walevi tu na wanawake ndio nguzo ya jamii... That is the highest level of simphood.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
watu wa ivi most probably ni virgins wanaoshinda nyumbani kwa mama na cycle ni Eat,sleep,JF and masturbate.
so they'd anything to please an online avatar
 
we jamaa nawewe ni too feminine mpaka unakera....sijui unategemea siku moja wadada wa hapa JF watakuzawadia tunda kisa unawateteaga sana
😂😂 Kila mtu na mtazamo wake ndugu hakuna cha u feminine wala femiten! Si kila kitu ni kusimama na kutetea jinsia yako tu tena kwa hoja dhaifu alizoweka mweka mada.. viumbe anaowaita wana roho mbaya ndo kila kiumbe kimepitia mikononi mwao!,muda mwengine jifunzeni kuangalia upande mwengine wa coin.. sio tu kutetea jinsia kitu ambacho hata unapozaliwa huna option unajikuta tu we me au ke!.

Mwanamke si chanzo cha matatizo hapa duniani mchawi twamjua japo mnajitahidi kufikicha.
 
Apa sasa umeongeza petrol kwenye moto...mbaya zaidi yeye anaamin so anaweza kuja tukana wanaume wote wa JF
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai..🤣🤣

Mkuu mi natumia mantiki na si kubeba jinsia tu there is no probleme.. 😜
 
Back
Top Bottom