politicians
Senior Member
- Apr 8, 2018
- 154
- 124
TUISHI NAO KWA HEKIMA SANA NDIVYO VITABU VYA MUNGU VILIVYOTUAGIZA
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!
MUME: Amka twende jogging mke wangu?
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa? (Mnene)
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya yako mke wangu
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
MUME: Jamani mi sijasema hilo
MKE: Kwa hiyo mie muongo?
MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...
MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?
WANAWAKE MUNGU ANAWAONA MUJUE
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!
MUME: Amka twende jogging mke wangu?
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa? (Mnene)
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya yako mke wangu
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
MUME: Jamani mi sijasema hilo
MKE: Kwa hiyo mie muongo?
MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...
MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?
WANAWAKE MUNGU ANAWAONA MUJUE