Jamaa anaeleweka tu vizuri,Ni kwamba bwana harusi mtarajiwa alishtukiwa kuwa ana mchepuko,wazee wakaja juu,na kwa sababu mchepuko alikuja nao kwenye kikao,ikabidi rafiki yake abebe dhamana ya kujifanya kuwa ndo boyfriend WA mchepuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.