Baada ya Kukuru kakara za hapa na pale za CCM na Chadema, Hatimaye imedhihirika wazi kwamba Chadema ni Kidume wa Hoja zenye Mashiko.
Kila anayejaribu kuiparamia CDM anapigwa Knockout kwa hoja zinazokubalika na wananchi wa kila rika. Baada ya kuona mambo yanazidi kuwa mabaya, CCM wameamua kutumia nguvu ya DOLA.
Mwenyekiti, Katibu na Mpiga porojo wao wanaonekana kuchanganyikiwa namna mambo yanavyoenda. Madogo (UVCCM) nao wamekuwa wakali utadhani wamevutishwa bangi ya Msukule huku kila kundi likitoa matamko ambayo hayana tija kwa amani ya Chama.
Nao CCM B imekuwa vurugu tupu, sijui na wao wamechukua katabia ka kaka zao, naona wameanza kuvuana magamba hadharani.
CCM A na B wamechoka kupambana na CDM, iliyobaki ni kuchapana viboko wao kwa wao mpaka kieleweke, CDM wao ni kupulizia tu na kusubiri Viherehere wengine wajitokeze.
Lo, My Gooooooood!!! Tutafika kweli. Kwa yeyote anayeona bila biasness CHADEMA peke yake imebakia kuwa Chama Imara katika wakati mgumu. Wananchi tunaona.
Kweli Chedema mnatukuna Jamani, CCM Kimyaaaaaaaaaaaaaaa.
Kila anayejaribu kuiparamia CDM anapigwa Knockout kwa hoja zinazokubalika na wananchi wa kila rika. Baada ya kuona mambo yanazidi kuwa mabaya, CCM wameamua kutumia nguvu ya DOLA.
Mwenyekiti, Katibu na Mpiga porojo wao wanaonekana kuchanganyikiwa namna mambo yanavyoenda. Madogo (UVCCM) nao wamekuwa wakali utadhani wamevutishwa bangi ya Msukule huku kila kundi likitoa matamko ambayo hayana tija kwa amani ya Chama.
Nao CCM B imekuwa vurugu tupu, sijui na wao wamechukua katabia ka kaka zao, naona wameanza kuvuana magamba hadharani.
CCM A na B wamechoka kupambana na CDM, iliyobaki ni kuchapana viboko wao kwa wao mpaka kieleweke, CDM wao ni kupulizia tu na kusubiri Viherehere wengine wajitokeze.
Lo, My Gooooooood!!! Tutafika kweli. Kwa yeyote anayeona bila biasness CHADEMA peke yake imebakia kuwa Chama Imara katika wakati mgumu. Wananchi tunaona.
Kweli Chedema mnatukuna Jamani, CCM Kimyaaaaaaaaaaaaaaa.