Poleni sana Dada na mama zetu!!! Tunatofautiana sana kimtazamo kuhusu wanawake! Baadhi yetu hatuafiki kashfa na kejeli zinazotolewa dhidi yenu.
Tunatambua michango yenu na umuhimu wenu katika maisha.
Nataka mfahamu ninyi ni zawadi kubwa kuliko zote Mwenyezi Mungu alizowahi kumpa Adam.a.k.a. ME.
Hivyo basi maneno machafu yanayotolewa dhidi yenu yasiwakatishe tamaa, chukulieni ni STRESS za baadhi yetu za maisha.
Hali ngumu ya uchumi imebana kiasi cha kufanya wanaume washindwe ku reason out..., Tatizo la kiuchumi ndilo linalosababisha tukwepe wajibu na majukumu yetu, hivyo kupelekea kutoa povu dhidi ya wanawake... Am sorry to say this, but it is the truth!!
Hata performance ya sex imeshuka simply bcoz, we can't afford proper food, and the like.
Mbaya zaidi Ina frustrate unapotamani type fulani ya mwanamke halafu huwezi kumpata since you can't afford to take a good care of her....
Hizi ni stress za UMASIKINI.
Poleni kwa kuwa victims, ila msijali tunawathamini na kuwaheshimu!!!
BIG UP TO ALL MAMAS a.k.a WOMEN!!!
Tunatambua michango yenu na umuhimu wenu katika maisha.
Nataka mfahamu ninyi ni zawadi kubwa kuliko zote Mwenyezi Mungu alizowahi kumpa Adam.a.k.a. ME.
Hivyo basi maneno machafu yanayotolewa dhidi yenu yasiwakatishe tamaa, chukulieni ni STRESS za baadhi yetu za maisha.
Hali ngumu ya uchumi imebana kiasi cha kufanya wanaume washindwe ku reason out..., Tatizo la kiuchumi ndilo linalosababisha tukwepe wajibu na majukumu yetu, hivyo kupelekea kutoa povu dhidi ya wanawake... Am sorry to say this, but it is the truth!!
Hata performance ya sex imeshuka simply bcoz, we can't afford proper food, and the like.
Mbaya zaidi Ina frustrate unapotamani type fulani ya mwanamke halafu huwezi kumpata since you can't afford to take a good care of her....
Hizi ni stress za UMASIKINI.
Poleni kwa kuwa victims, ila msijali tunawathamini na kuwaheshimu!!!
BIG UP TO ALL MAMAS a.k.a WOMEN!!!