Kwaya nne bora toka tumepata uhuru 1961

Kwaya nne bora toka tumepata uhuru 1961

Kwenye kwaya nzuri n masabato , kwenye kulia na kuomboleza n malokole , kwenye masanamu n maromani , kwenye kula ubwabwa na majini ni maislamu au mnasemaje mapagani wenzangu😇🤣😂🤪
 
Bulyankulu barabara ya 13, 2. Shangilieni Arusha 3. Mama jusi Moshi, 4.Agape Tag Moshi 5. Nkinga Christian Nzega, 6. Muungano Nasa Magu, 7. Sauti ya jangwani majengo shinyanga, 8. Kila goti litapigwa singida utemini, 9.Efata uhuru moravian na nyimbo yao Amani
 
Toka tumepata uhuru 9/12/1961 hizi ndizo kwaya bora kabisa kuanzia utunzi ubunifu na kufikisha ujumbe

1.St James Arusha au tumaini shangilieni

2.Barabara ya 23 Tabora

3.Mapigano ulyankulu Tabora

4.Kwaya ya vijana kkkt Mabibo

Mpaka sasa sijaona kwaya ya kufikia hizo kwaya nne
utawaacha wapi kwaya ya kkkt Arusha walioimba kwaherini ndugu kiitikio mungu akipenda tutaonana tena
 
Toka tumepata uhuru 9/12/1961 hizi ndizo kwaya bora kabisa kuanzia utunzi ubunifu na kufikisha ujumbe

1.St James Arusha au tumaini shangilieni

2.Barabara ya 23 Tabora

3.Mapigano ulyankulu Tabora

4.Kwaya ya vijana kkkt Mabibo

Mpaka sasa sijaona kwaya ya kufikia hizo kwaya nne
Naunga mkono hoja 💯. Hasa hao mapigano ulyankulu 🙌 ilitakiwa wawe ndo namba moja
 
Avat yako tu ndio inanifurahisha. Sasa hivi dunia imepadilika kuna gospel flavour na sebene gospel. Yaani wakati mwingine ndio maana mungu anasema niondoleeni kelele zenu hapa.
Yaani avatar unaweza dhani ni shetani aliyeamua kuwa malaika mwema kwa kutaja jina Mungu asee!.
 
Nyimbo za kwaya nyingi za injili za sasa hivi uwa zinanikumbusha uparuaji wa kinanda wa keyboardist Moses Ngwenya wa kundi la Soul Brothers la Afrika Kusini na midundo yao ya mbaqanga. Kwenye nyimbo kama za Rose Mhando na NEEMA GOSPEL CHOIR AIC Chang'ombe mfano kwenye wimbo wao wa MUUMBA WA MIISHO YA DUNIA utasikia kabisa mivumo ya kinanda kama ilivyokuwa enzi za hao jamaa wa Soul Brothers. Yaani ni full kuchangamka.
 
Back
Top Bottom