Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,277
- 3,005
Rekebisha hapo Na. 2.. Ni Barabara 13 Ulyankulu..Toka tumepata uhuru 9/12/1961 hizi ndizo kwaya bora kabisa kuanzia utunzi ubunifu na kufikisha ujumbe
1.St James Arusha au tumaini shangilieni
2.Barabara ya 23 Tabora
3.Mapigano ulyankulu Tabora
4.Kwaya ya vijana kkkt Mabibo
Mpaka sasa sijaona kwaya ya kufikia hizo kwaya nne
Kwa orodha yako Hii, na Mimi nakuunga Mkono.
Ila Hii Barabara 13 Ulyankulu, ilipaswa kuwa Na. 1.....