Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Niwatakie kila la kheri ila kuweni makini na wale vibaka , wanatuharibu image yetu , wanaweza kulipua huko kwenye misusanyiko yenu.
Asante sana ndugu yetu

Wale huwa wanazingua sana unakuta watu mko kanisani mumeshika matawi yenu mikonon alafu kumbe Kuna mtu yeye ana bom kiunon

Ni hatari sana
 
Quran suratu Alfat hu Aya ya 29.

{ مُّحَمَّدٞ رَّسُولُ ٱللَّهِۚ وَٱلَّذِينَ مَعَهُۥٓ أَشِدَّآءُ عَلَى ٱلۡكُفَّارِ
رُحَمَآءُ بَيۡنَهُمۡۖ تَرَىٰهُمۡ رُكَّعٗا سُجَّدٗا يَبۡتَغُونَ فَضۡلٗا مِّنَ ٱللَّهِ وَرِضۡوَٰنٗاۖ سِيمَاهُمۡ فِي وُجُوهِهِم مِّنۡ أَثَرِ ٱلسُّجُودِۚ ذَٰلِكَ مَثَلُهُمۡ فِي ٱلتَّوۡرَىٰةِۚ وَمَثَلُهُمۡ فِي ٱلۡإِنجِيلِ كَزَرۡعٍ أَخۡرَجَ شَطۡـَٔهُۥ فَـَٔازَرَهُۥ فَٱسۡتَغۡلَظَ فَٱسۡتَوَىٰ عَلَىٰ سُوقِهِۦ يُعۡجِبُ ٱلزُّرَّاعَ لِيَغِيظَ بِهِمُ ٱلۡكُفَّارَۗ وَعَدَ ٱللَّهُ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ مِنۡهُم مَّغۡفِرَةٗ وَأَجۡرًا عَظِيمَۢا }

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa".

Suuratul Alfat hu Aya ya
8
"
{ إِنَّآ أَرۡسَلۡنَٰكَ شَٰهِدٗا وَمُبَشِّرٗا وَنَذِيرٗا }

Hakika tumekutuma wewe (Muhammad ) uwe Shahidi, na Mbashiri, na Mwonyaji",
Kina nani hao walimtuma wapo wangapi??
 
Mambo ya Walawi (Lev) 23:5
Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni pasaka ya BWANA.

In the fourteenth day of the first month at even is the LORD'S passover.

Je ni kwanini tarehe ya kuiadhimisha Pasaka imebadikishwa ?

Nasubiri jibu
Mtumish sisi tunaadhimisha kumbukumbu la mateso, kifo na kufufuka kwa BWANA WETU YESU KRISTO

Hatuadhimishi tarehe sisi siyo waganga wa kienyeji

Sisi tunaadhimisha kitendo cha kuteseka , kufa na kufufuka kwa BWANA na hiyo ndiyo pasaka

Tarehe tunakuachia uadhimishe wewe lakini sisi hatuadhimishi tarehe
 
Back
Top Bottom