Bado tunaendelea na kwaresma jaman tushikamane na wote wenye uhitajiAsante kwa uzi mzuri mkuu,ubarikiwe
Nyie waislam mna maisha ya kipagan sanaAjibiwe huyu jamaa anahoja
Saiz kitimoto imepanda bei baada ya nyie kufunguaNasikia ruhusa kula mchana kidogo?
Funga ni ya waislam tu, waliobaki wanafanya mchezo wa kuigiza tu
Wewe dogo ulishinda njaa bure tu saiz unazin kinoma yaanPia bwana Beira nimekuuliza , Yesu kulingana na biblia alifunga siku 40 usiku na mchana.
Nyinyi andiko la kufunga mchana na kula usiku mumefundishwa na nani?!
Shida hawa sikukuu yao ni ya kupangiwa na CCMSijui wakristo tunakosea wapi, wenzetu sikukuu imetengeneza a long weekend hebu Mwamakula shauriana na wenzako kalenda ifanane na wenzetu kama walivyofanya wiki hii
Myahudi anawabonda mpaka hurumaK
Kobazi hawajawahi ishiwa malalamiko
Saiz myahudi anawatwanga hawataki kumpigania MUNGU wao, wangekuwa wanapigana na mkristo wangeanza kumpigania MUNGU wao
Jamaa wana muogopa sana myahudi