Kwapa la mpenziwe linamkera msaidieni

Kwapa la mpenziwe linamkera msaidieni

simple, mwambie atumie BRUT anti-pespirant & deodorant hii hata ukioga inabaki kwenye kwapa, kile kijasho cha bao hutakisikia. Ukitaka kujua harufu halisi ya mwenzako hasa mwanaume ni kale kajasho baada ya bao!
 
nasikia hata mate ya simba aliyezaa nayo dawa.
Mungu anakuona, hapa tunaongelea shida ya mtu anakosa usingizi unaleta utani!!! nimekusamehe bure
 
achukue limao, bila kulikata apigepige mpaka lianze kutoa majimaji halaf aminyie kwenye kwapa kwa muda wa siku 3 mfululizo....kwahisani ya kipindi cha tv (skumbuki channel, msijeniuliza)
Asante mapi
 
amsugue na limao na sukari pia ampake deodorant
armpit.png
 
Mimi ni mdada mwenye
umri wa miaka 27.Nina
uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri wa miaka 33 kwa muda wa miezi mitano sasa. Tatizo langu ni kuwa kila tufanyapo
mapenzi huwa nashikwa na
chafya kali sana.Chanzo chake ni kwapa ya mpenzi wangu ..
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini maana kwenye suala la
usafi sijaona kama ni tatizo kwake.Kabla ya tendo huwa tunaoga pamoja na humsugua sana tu.. Tukishafika kitandani kwapa hutoa harufu utadhani hajaoga mwezi mzima yaani hata hamu ya tendo huniishia, kuziba pua nashindwa, nikihofia kwamba
atanielewa vibaya.Kwa hiyo huwa navumilia tu ili mradi amalize hamu yake... Jamani, naombeni msaada ili
uhusiano wangu usivunjike maana bado nampenda mpenzi wangu. Maadam A.


Nimeitoa sehemu hiyo nimemuonea huruma nikaona nishee na wana MMU wenzangu labda akiingia JF atasoma maoni yenu



Unataka kutuambia kuwa na wewe japo unaoga hutumii deodorant? People please karne ya 21 hii ya nini kuendekeza uchafu?
 
mimi ni mdada mwenye
umri wa miaka 27.nina
uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri wa miaka 33 kwa muda wa miezi mitano sasa. Tatizo langu ni kuwa kila tufanyapo
mapenzi huwa nashikwa na
chafya kali sana
.
kWsrQt5PMq-2.png


chanzo chake ni kwapa ya mpenzi wangu ..
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini maana kwenye suala la
usafi sijaona kama ni tatizo kwake.
smelly-armpit.jpg


kabla ya tendo huwa tunaoga pamoja na humsugua sana tu.. Tukishafika kitandani kwapa hutoa harufu utadhani hajaoga mwezi mzima yaani hata hamu ya tendo huniishia, kuziba pua nashindwa, nikihofia kwamba
atanielewa vibaya.kwa hiyo huwa navumilia tu ili mradi amalize hamu yake...
Kwa nini kwenye blue

jamani, naombeni msaada ili
uhusiano wangu usivunjike maana bado nampenda mpenzi wangu. Maadam a.


Nimeitoa sehemu hiyo nimemuonea huruma nikaona nishee na wana mmu wenzangu labda akiingia jf atasoma maoni
yenu

colgatebreath1.jpg

jumapili njema
 
Unataka kutuambia kuwa na wewe japo unaoga hutumii deodorant? People please karne ya 21 hii ya nini kuendekeza uchafu?

Nimeamini kweli wewe jamaa_mbishi ina maana hujaielewa hiyo sledi inamuongelea nani ?
 
achukue limao, bila kulikata apigepige mpaka lianze kutoa majimaji halaf aminyie kwenye kwapa kwa muda wa siku 3 mfululizo....kwahisani ya kipindi cha tv (skumbuki channel, msijeniuliza)

tena hilo limao lipigiwepigiwe kwenye kwapa za mkuu hadi lilainike hahahahaaa! pole yako na yake
 
Back
Top Bottom