Kwapa la mpenziwe linamkera msaidieni

Kwapa la mpenziwe linamkera msaidieni

Mimi ni mdada mwenye
umri wa miaka 27.Nina
uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri wa miaka 33 kwa muda wa miezi mitano sasa. Tatizo langu ni kuwa kila tufanyapo
mapenzi huwa nashikwa na
chafya kali sana.Chanzo chake ni kwapa ya mpenzi wangu ..
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini maana kwenye suala la
usafi sijaona kama ni tatizo kwake.Kabla ya tendo huwa tunaoga pamoja na humsugua sana tu.. Tukishafika kitandani kwapa hutoa harufu utadhani hajaoga mwezi mzima yaani hata hamu ya tendo huniishia, kuziba pua nashindwa, nikihofia kwamba
atanielewa vibaya.Kwa hiyo huwa navumilia tu ili mradi amalize hamu yake... Jamani, naombeni msaada ili
uhusiano wangu usivunjike maana bado nampenda mpenzi wangu. Maadam A.


Nimeitoa sehemu hiyo nimemuonea huruma nikaona nishee na wana MMU wenzangu labda akiingia JF atasoma maoni yenu

hicho ni kikwapa sugu,watu wenye tatizo hlo wapo na mimi binafsi nawafahamu wengi sana na imewaletea shida pia kwenye mahusiano,kutibu kikwapa sugu ni kazi cha msingi hapo kabla hamjaanza kufyekana jaribu kumshawishi atumie marashi au perfume hyo itasaidia na hutoboreka,pia jitahd uwe una spray room!
 
hicho ni kikwapa sugu,watu wenye tatizo hlo wapo na mimi binafsi nawafahamu wengi sana na imewaletea shida pia kwenye mahusiano,kutibu kikwapa sugu ni kazi cha msingi hapo kabla hamjaanza kufyekana jaribu kumshawishi atumie marashi au perfume hyo itasaidia na hutoboreka,pia jitahd uwe una spray room!

ilisha junior , Unaweza kuvumilia masharti yote hayo uliyoyaainisha hapo? mie siwezi kuvumilia nitajitahidi nikishindwa nakuacha
 
ilisha junior , Unaweza kuvumilia masharti yote hayo uliyoyaainisha hapo? mie siwezi kuvumilia nitajitahidi nikishindwa nakuacha

waswahili husema mapenzi kizunguzungu,yani mtu anaweza mpenda mwenye chongo akasema ana makengeza kisa tu kampenda,unapompenda mtu kwa dhati mapungufu utavumilia tu,ukimkimbia hujampenda!
 
Hahaha miss chaga umeua, hii dawa kiboko

Sista kweli ukoko wa ugali ni dawa yani ugali ukishapikw yale maji yaliyolowekea sufuria anachukua anasafishia kwapa ndani ya wiki kikwapa kinakata hiyo na limao ni dawa za asili nzuri zimesaidia watu ninaowajua.Nyingine ni baking powder anaweka kiasi na kusua kwapa kisha anasubiri dk chache ndo aoge b.powder inasidia kukata harufu na pia kuondoa weusi wa kwapa.
 
Dawa ya kikwapa sugu:
Chukua limau bichi,
Limenye ,
Chukua yale maganda yake .
Yasage yawe km hinna ya kusaga.
Changanya na maji kidogo.
Mpake ktk hiyo kwapa kutwa mara tatu lkn hakikisha kwapa ni safi

Ukishindwa hiyo hapo juu;
Chukua MKOJO WA SISIMIZI mwari osha sehemu hiyo iliyoathirika
 
Honestly si atumia doggy style tu solution imepatikana au!??
 
Sista kweli ukoko wa ugali ni dawa yani ugali ukishapikw yale maji yaliyolowekea sufuria anachukua anasafishia kwapa ndani ya wiki kikwapa kinakata hiyo na limao ni dawa za asili nzuri zimesaidia watu ninaowajua.Nyingine ni baking powder anaweka kiasi na kusua kwapa kisha anasubiri dk chache ndo aoge b.powder inasidia kukata harufu na pia kuondoa weusi wa kwapa.

Lol mwenzio atavimba kwapa usimshauri vibaya. Baking powder iinaumuwa vyakula. Kuna mtu aliambiwa atie baking powder kwenye meno yawe meupe aliumbuka alitoka magozi nyama zikamtoka
 
Back
Top Bottom