Kwanini?

ni kweli aujapata jibu we bwna?
wanaume WANA ROHO NZURI SAAAAAAAAAAAAAANA ndo mana wanatoa lift kwa MADEM TU
wanawake wana roho mbaya saaaaaaaaaana ndo mana hawatoi lift

Ni kweli?? sio kwamba hua wanaona kama watakua wana pave way ya kutongozwa, au kuogopa kuonekana kama wanajipendekeza hasa wanapotoa lifti kwa wanaume??
 
Lift? Why lift anyone? Labda awe kilema!
1. Ana miguu kamili na alipopanga safari alijua ana means ya kufika
2. Kuna daladala kibao sikuhizi kila kona
3. Kuna bajaj za akina Asprin kila kona
4. Kuna tukutuku za akina Fidel80 kila mahali
5. Kuna taxi za akina Teamo kila upande
6. WHY LIFT?
 
Duh!! Wewe kweli Askofu??!!
Usibague wa kuwapa msaada coz watu wote ni sawa hata kama akiwa kilema!!!
Wengine hata hiyo pesa ya NAULI ni tabutupu kama jina la msela wangu!!!

Lift? Why lift anyone? Labda awe kilema!
1. Ana miguu kamili na alipopanga safari alijua ana means ya kufika
2. Kuna daladala kibao sikuhizi kila kona
3. Kuna bajaj za akina Asprin kila kona
4. Kuna tukutuku za akina Fidel80 kila mahali
5. Kuna taxi za akina Teamo kila upande
6. WHY LIFT?
 
Inabidi nivunje ukimya kabla ya kumaliza Mwaka huu!!!
Shem huyu bibie si ndo hataki kunielewa the way ninavomfill huyu Binti wa KINYARWANDA!!!!
Ni kweli nampenda saaaaana huyu Binti, Nibembelezee Shem!!!!

usijali shem....vunja ukimya....kitaeleweka
 
Let me try to go with nature a little bit on this.Kawaida wanyama wote wawindao(predators) macho yao huangalia mbele,na wale wawindwao(prey)macho yao huwa yako pembeni kupata side views.Kwa ishu kama hii unapokuja kuangalia wanaume(predators)watongozaji muda wote macho yao huwa yako wazi katika kutafuta cha kutizama na huwa inakuwa rahisi sana kwa mwanaume anayedrive kumuona dada aliyesimama pembeni ya barabara.Lakini kwa wanawake(prey)ambao mara nyingi ni watongozwaji huwa hawana muda wa kuangalia vitu visivyowahusu na mara nyingi kama wanadrive huwa wanaconcetrate kwenye driving tu na sio kwingine.Na ndio sababu ni jambo la kawaida kukuta mwanaume amesababisha accident kwa kushangaa mwanamke na sio mwanamke kusababisha accident kwa kushangaa mwanaume.Kwa hilo la lift,wanaume huwa wanatafuta chanzo tu cha kuwa karibu na msichana ili ajiwekee mazingira mazuri ya kumchakachua baadaye kama si siku hiyohiyo.Lakini kwa wenzetu ni tofauti sana na wala hakuna cha roho mbaya au nzuri.
 
Inabidi nivunje ukimya kabla ya kumaliza Mwaka huu!!!
Shem huyu bibie si ndo hataki kunielewa the way ninavomfill huyu Binti wa KINYARWANDA!!!!
Ni kweli nampenda saaaaana huyu Binti, Nibembelezee Shem!!!!


Mkuu kwani hukushinda ile tenda ya kumaliza mwaka?
 
Kwa kifupi si vizuri kutoa lifti, kwa mtu usiemjua awe mwanamke au mwanaume, ni kwa kuhofia usalama tu. Unaweza mpa lift mtu then ajali ikitokea hutaamini kesi itakavyo kutesa. Pia unaweza mpa lift mtu kumbe jambazi, kuna jamaa mmoja alikwenda kuwashusha wenzie home usiku wakitokea kula raha wakiwa njiani walikuta dada anaomba lift wakambeba USIKU WA MANANE, wengine wote walivyoshuka dereva alimuomba huyo dada ahamie siti ya mbele, lakini alikataa na ilikua sanane za usiku, wemekwenda hatua kidogo yule dada alimshuti yule kaka kwa nyuma kichwani. Baada ya hapo alishuka na akaondoka bila kuchukua kitu, mshikaji alikutwa kwa VX yake amekufa. Kwa hiyo wasio toa lift hawana roho mbaya wengine wanafanya kwa nia nzuri tu na kuepa matatizo.

Uko sahihi kabisa nshalizwa na mwanamke SIMPI LIFT NISIYE MJUA awe he or she i am sorry!!
 
Back
Top Bottom