Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,047
- 134,349
Ninamnukuu Mohamed Mtoi. ''Nilimeet na Zitto kwenye semina ya TACAIDS yeye akiwakilisha CCM mimi nikiwakilisha CHADEMA.
Leo huyu huyu anataka watanzania wamwamini kuwa ni mpinzani,watu wamemnyamazia asijione ni mshindi ana uchafu mwingi ambao hauna maelezo na ndiyo sababu UKAWA wamesita kumruhusu ajiunge nao kwa sababu haeleweki amesimamia upande gani.''
Chanzo: Mohamed Mtoi
Leo huyu huyu anataka watanzania wamwamini kuwa ni mpinzani,watu wamemnyamazia asijione ni mshindi ana uchafu mwingi ambao hauna maelezo na ndiyo sababu UKAWA wamesita kumruhusu ajiunge nao kwa sababu haeleweki amesimamia upande gani.''
Chanzo: Mohamed Mtoi