Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,330
Kwa wale wanaopinga kwamba ZZK hakuwa msaliti kwa Chadema lazima sasa waamini alikuwa msaliti, na hii ni kutokana na yeye mwenyewe kukiri.
Gazeti la MAWIO limemnukuu Zito katika kujitetea kwake kwamba alikuwa anakutana na JK mara kwa mara kuzungumzia 'masuala ya kitaifa.' Lakini alikuwa hawajulishi viongozi wenzake katika Chadema kabla au hata baada ya hiyo mikutano yake na JK
Sasa tuamini walikuwa wakiongelea masuala ya taifa? Ikumbukwe kuwa kipindi cha vikao vyao mpaka kupelekana Ethiopia,Zito alikuwa ni kiongozi CHADEMA.
Gazeti la MAWIO limemnukuu Zito katika kujitetea kwake kwamba alikuwa anakutana na JK mara kwa mara kuzungumzia 'masuala ya kitaifa.' Lakini alikuwa hawajulishi viongozi wenzake katika Chadema kabla au hata baada ya hiyo mikutano yake na JK
Sasa tuamini walikuwa wakiongelea masuala ya taifa? Ikumbukwe kuwa kipindi cha vikao vyao mpaka kupelekana Ethiopia,Zito alikuwa ni kiongozi CHADEMA.