Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Waliokuaminishwa wamejitahidi sana Malata Junior ipo siku watakuaminisha kua CCM mwisho wake huu na hapo utakua umedanganywa kweli
 
Last edited by a moderator:
kama zzk hutaki madaraka kwanini hukujiunga na chama kingine ambacho kina uongozi tayari.Utakao wandanganya hawazidi % 0.002 ya watz.Utawandanganya watz lakini huwezi kuwandanganya watz wakati wote unajisumbua bure.

sikubaliani na wewe, kwa sababu 0.002% ya watanzania ni nyingi sana. Yaani ukichua 0.002% ni sawa na 0.00002*45000000=900, sasa huyu samaa kuwadanganya watu wote hawa atajisifu sana tena sana sema asilimia 0.0000002 ya watanzania wote sawa.
 
Waliokuaminishwa wamejitahidi sana Malata Junior ipo siku watakuaminisha kua CCM mwisho wake huu na hapo utakua umedanganywa kweli
nimesema sikuaminishwa mkuu nimejionea mwenyewe. Amemsaliti mpaka Limbu muasisi mwenzake WA act wasaliti!
 
Last edited by a moderator:
Zitto kabwe kanichonganisha na familia yangu, baba yangu, mama, kaka na dada! Walinishauri nifuate / nipende itikadi, sera za chama na siyo m2, binafs nilimpenda zito kumbe nilipotea, leo hii zito ni m2 wa kutafuta huruma kwa wananchi, mara nimebadri sera ya madini, nimeibua escrow nk.
Kwa nini zitto umeamua kuwa mzito kiasi hicho, kumbe tatizo ni uongozi mkuu wa chama, walichokisema cdm una uroho wa madaraka umejithihirisha, wewe ni mkuu wa chama, mwenyekiti na wengine wote chini yako...kweli zito ni mzito
 
aisee jamaa ambaye hata hakujui anakupa headache?

kwa siasa gani za afrika hii zinakugombanisha na nduguzo?
 
Nilimeet na Zitto kwenye semina ya TACAIDS yeye akiwakilisha CCM mimi nikiwakilisha CHADEMA.

Mtu huyu yuko ccm wakati alisha toa matusi ya kufuru dhidi ya CCM ambayo haya andikiki hapa.

Leo huyu huyu anataka watanzania wamwamini kuwa ni mpinzani,watu wamemnyamazia asijione ni mshindi ana uchafu mwingi ambao hauna maelezo na ndiyo sababu UKAWA wamesita kumruhusu ajiunge nao kwasababu haeleweki amesimamia upande gani.




 
Aje UKAWA halafu aanzishe muungano mwingine ndani ya UKAWA, no sasa hivi haiwezekani kuruhusu huyu mtu atuvuruge, hamna namna abaki huko aanzishe muungano na CCM.
 
Ningependa sana kuamini kuwa at last he is exposed; but a proof will be good. Something like a snap of registration form
 
Povu la nini sasa? Hebu rudia kuandika ueleweke.
BAVICHA mnahangahaika sana na Zitto wakati yeye hana time na ninyi.
 
Toka kale tulionya kuhusu tabia ya Zitto,ni bendera fuata upepo na mtu hatari kwa demokrasia ya upinzani.Ana malengo binafsi lakini yenye lengo la yule mbaya wake akose na adui yao apate.
 
Zitto kabwe kanichonganisha na familia yangu, baba yangu, mama, kaka na dada! Walinishauri nifuate / nipende itikadi, sera za chama na siyo m2, binafs nilimpenda zito kumbe nilipotea, leo hii zito ni m2 wa kutafuta huruma kwa wananchi, mara nimebadri sera ya madini, nimeibua escrow nk.
Kwa nini zitto umeamua kuwa mzito kiasi hicho, kumbe tatizo ni uongozi mkuu wa chama, walichokisema cdm una uroho wa madaraka umejithihirisha, wewe ni mkuu wa chama, mwenyekiti na wengine wote chini yako...kweli zito ni mzito

Yani MTU mmoja ndo asababishe ufarakne na familia nzima, Zito kuwa kiongozi mkuu wa chama imekua shida, chama cheni kawaachieni sasa tatizo nini tena
 
Nilimeet na Zitto kwenye semina ya TACAIDS yeye akiwakilisha CCM mimi nikiwakilisha CHADEMA.

Mtu huyu yuko ccm wakati alisha toa matusi ya kufuru dhidi ya CCM ambayo haya andikiki hapa.

Leo huyu huyu anataka watanzania wamwamini kuwa ni mpinzani,watu wamemnyamazia asijione ni mshindi ana uchafu mwingi ambao hauna maelezo na ndiyo sababu UKAWA wamesita kumruhusu ajiunge nao kwasababu haeleweki amesimamia upande gani.





Mwaka gani, na mkutano huo ulikua wapi, then tupe reffence. Usiwe muongo.
 
Ninapenda sana kuwa mtetezi namba moja wa Zitto kama,ila bwana Zitto subiri kidogo, kabla sijaanza kukutetea nijibu kwanza mambohaya:-



  1. Je,sio wewe unayeeneza uzushi kuwa alitimuliwa CHADEMA kwa kuwa eti alielekeza CAGakague hesabu za CHADEMA. Zitto unafahamuwazi makosa ya Usaliti uliyofanya kiasi cha wenzio kushindwa kukuvumilia.Naumma wote ulijulishwa dhidi ya makosa yako.
  2. Je,sio wewe uliyetukana UKAWA kuwa ni wasaka tonge
  3. Je,sio wewe uliyejiapiza baada ya kuondoka CHADEMA kuwa ''CHADEMA watakukoma''
  4. Je,sio wewe unayetetewa sana na CCM kiasi cha kutia mashaka
  5. Je,sio wewe uliyekiri kuanzisha chama akiwa CHADEMA. Vyombo vya habari vikikunukuukuwa mlianzisha chama kwa kukosa ''platform'' mlipokuwa CHADEMA
  6. Je,sio wewe uliyeshauri CHADEMA wajitenge na kesi dhidi ya ''gaidi'' Lwakatare
  7. Je,sio wewe uliyetangaza nia ya kuwania urais kupitia CHADEMA wakati CHADEMAikihangaika na kampeni za ubunge Arumeru Mashariki
Ukishindwa basi NO THANKYOU, Baki kutetewa na CCM
 
Back
Top Bottom