Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Piego achani uongo huu .Zitto anajua Chadema hakufukuzwa , ila Zitto alijiondoa mwenyewe kwa kwenda mahakamani maana katiba yao iko wazi . Sasa unataka kusea kafukuzwa lini na nani ? Jengenu hoja tusome tuelewe si kila mmoja ni mjinga hapa JF
Hata Lowassa nae hakufukuzwa alistaafu.