Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Piego achani uongo huu .Zitto anajua Chadema hakufukuzwa , ila Zitto alijiondoa mwenyewe kwa kwenda mahakamani maana katiba yao iko wazi . Sasa unataka kusea kafukuzwa lini na nani ? Jengenu hoja tusome tuelewe si kila mmoja ni mjinga hapa JF

Hata Lowassa nae hakufukuzwa alistaafu.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Mimi nasubiri hiyo october ......nina uhakika rangi halisi za watu zitajulikana.
 
mods leo naona wameuonea huruma huu uzi,una bahati mleta uzi ila usirudie tena kuleta uzi kama huu utapigwaBAN shaur yako
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.
Hivi kweli wewe Lema sio CCM damu ila unapishana tu na viongozi waliopo madarakani?...
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.

Mwakahuu mpaka mtaishiwa yakuandika na bado kijana halumban na wasin jielewa wasiekwenda na wakati, huu simuda wa siasa za chukindugu, wamesema mengi wewe unajirudia tupo na UZALENDO
 
Piego achani uongo huu .Zitto anajua Chadema hakufukuzwa , ila Zitto alijiondoa mwenyewe kwa kwenda mahakamani maana katiba yao iko wazi . Sasa unataka kusea kafukuzwa lini na nani ? Jengenu hoja tusome tuelewe si kila mmoja ni mjinga hapa JF

Kipindi cha fukuto la tuhuma za usaliti member wengi wa CDM hapa jf walikuwa wanamchongea kama sio jushadidia afukuzwe.. hapo wote tunakumbuka!! Wakamchezea rafu ya wazi ya kupitisha maamuzi ktk vikao vya ngazi ya kati kama sio kukaribia ngazi ya juu akakimbilia mahakamani... mnasema kajifukuza!! Haya tuambie mbona wakina Lissu walisherehekea walipoamua kumfukuza kabisaaa... ?? Hiyo unaielezeaje mkuu?
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.

Huyu jamaa naye jana Dr. Mengi ametoka kumlalamikia kwny vyombo vya habari kupeleka taarifa za kuhatarisha maisha yake kuwa amekuwa akizoofisha uongozi wa kikwete, leo tena anasimama kuchukua wafuasi wa ccm?

Bado siasa bongo tulio wengi tunazid kuchezewa chenga la macho kiasi cha kutufanya tushindwe kujua nn kilichofichwa nyuma ya pazia.
 
Kipindi cha fukuto la tuhuma za usaliti member wengi wa CDM hapa jf walikuwa wanamchongea kama sio jushadidia afukuzwe.. hapo wote tunakumbuka!! Wakamchezea rafu ya wazi ya kupitisha maamuzi ktk vikao vya ngazi ya kati kama sio kukaribia ngazi ya juu akakimbilia mahakamani... mnasema kajifukuza!! Haya tuambie mbona wakina Lissu walisherehekea walipoamua kumfukuza kabisaaa... ?? Hiyo unaielezeaje mkuu?

Hao hawawezi kukujibu kaziyao ni kuropoka na kutukana ndo sifakuu,
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.

Hivi kutwa nzima usiku kucha hamlali kisha ZITTO ...ZITTO ..
Mnalipwa na Nani . Kwa Hali hii hatakama mtaleta mabaya ya ZITTO.. Mnazidi kujidhalilisha kuwa ni udaku hata Kama ni kweli tume choka
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.

dhahabu inavozid kuwekwa kwenye moto mkal ndivo inavozid ng'ara..... mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.... akina lema haya hayakuwakuta na akina kahigi et prof....!!! na kwa taarfa tu mnavotumia nguvu ya ziada kumchafua ZZK ndivo watu wanavozd kumkubal na kuwachukia ninyi kwa roho mbaya mlokua nao raia wamechoka na hujuma zenu dhidi ya ZZK ndio maana kila anakokwenda anapokelewa kama mfalme
 
Kipindi cha fukuto la tuhuma za usaliti member wengi wa CDM hapa jf walikuwa wanamchongea kama sio jushadidia afukuzwe.. hapo wote tunakumbuka!! Wakamchezea rafu ya wazi ya kupitisha maamuzi ktk vikao vya ngazi ya kati kama sio kukaribia ngazi ya juu akakimbilia mahakamani... mnasema kajifukuza!! Haya tuambie mbona wakina Lissu walisherehekea walipoamua kumfukuza kabisaaa... ?? Hiyo unaielezeaje mkuu?

  • Kwa sababu zote hizo, Kamati Kuu imeazimia ifuatavyo:

    1. Kwamba kuanzia tarehe ya uamuzi wake, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wafukuzwe uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA); na

    2. Kwamba, kwa vile Zitto Zuberi Kabwe amekishtaki Chama kinyume na matakwa ya Katiba ya Chama na Kanuni zake, na kwa vile Mahakama Kuu imeamuru vikao vyote vya Chama visijadili wala kuamua suala lolote linalohusu uanachama wa Zitto Zuberi Kabwe, viongozi wa ngazi zote za Chama, wanachama, washabiki na wapenzi wa CHADEMA popote walipo katika nchi yetu na nje ya Tanzania wasishiriki wala kusaidia kwa namna yoyote mikutano yoyote ya nje au ya ndani au shughuli nyingine yoyote ya kisiasa itakayofanywa na Zitto Zuberi Kabwe na mawakala wake kwa jina la CHADEMA.

    --------------------------------


    Dr. Wilbrod P. Slaa


    KATIBU MKUU



 
Zitto aache huo usanii wake,siasa ameshindwa aende kwenye bongo fleva aimbe chorus.
 
Zitto Kabwe ambaye usaliti wake umeanza kuwekwa wazi amefanya kituko cha kisanii baada ya kukabidhi hadharani bendera na vifaa vipya vyenye rangi za kijani na njano kutoa taswira kwamba kuna wana CCM wamejisalimisha ACT.
Tukio hili la kisanii limekuja baada ya Zitto kutuhumiwa kutumiwa kwa muda mrefu na CCM kuhujumu upinzani. Tukio hili linataka kujenga picha kuwa Zitto ni mpinzani na sio sehemu ya CCM.
Kwamba baada ya taarifa kuvuja juu ya mahusiano ya kihujuma kati ya Zitto na Ikulu sasa Zitto anakuja na kituko kuwa yeye sio CCM.
Haijawahi kutokea siku yoyote ambayo Mungu amewahi kumhifadhi mnafiki , huyu kijana atazidi kudhalilika .
 
dhahabu inavozid kuwekwa kwenye moto mkal ndivo inavozid ng'ara..... mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.... akina lema haya hayakuwakuta na akina kahigi et prof....!!! na kwa taarfa tu mnavotumia nguvu ya ziada kumchafua ZZK ndivo watu wanavozd kumkubal na kuwachukia ninyi kwa roho mbaya mlokua nao raia wamechoka na hujuma zenu dhidi ya ZZK ndio maana kila anakokwenda anapokelewa kama mfalme
mkuu kigoma hakuna dhahabu bali kuna migebuka kwa wingi sana .
 
Haijawahi kutokea siku yoyote ambayo Mungu amewahi kumhifadhi mnafiki , huyu kijana atazidi kudhalilika .
mungu wenu Chadema hana nguvu yoyote.Labda ana nguvu ya kuwaingia kina Dr.W.Slaa waoe Wake wengi na kuhonga Ubunge VITI MAALUM.MBOWE yale yale.mungu wenu huo tu ndio uwezo wake ninyi BAVICHA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom