zuuth
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 377
- 142
Hizi ni kete tu za kwanza,bado ngoma Oct 2015
Umeona eeeh....cdm wamewakoroga na watayanywa...zitto si wahihiv.zitto 1 is equal to mboye and slaa100..
Hizi ni kete tu za kwanza,bado ngoma Oct 2015
Wewe kweli moto chini,
Nani anayesema Chadema ni chama cha wachagga?,
Ikiwa wafuasi wa chadema( wasaliti) ,waliofukuzwa chadema,walisema saccoss ya wachagga tukieleje chama ambacho kinawapokea?
Sasa umesha sema unatarajia yaani wewe pekeyako, sasa hakuna shida endelea kutarajia hivyohivyo
Aisee jamani tumeshachoka sasa, zito mmefukuza kaondoka bado maneno hayaishi?
Hivi mfano umempa talaka mke wako alafu akaondoka ww uliyetoa talaka unalalamika tuu, mara oohh ulikuwa unanisaliti, maara oohh mwananmke gani wewe? sasa talaka umeshatoa na mtalaka kaondoka wewe bado unalalamika nini?
Nyie Chadema acheni upuuzi tumeshawachoka na kulialia kwenu haaa
Nawashangaa sana watu mnaosema eti zitto alianzisha act akiwa ndani ya chadema. Ni kutufanya mazuzu sie.
Uanachama wa zitto ulivunjwa kitambo sana. Na zitto(coz ni Mtaalam wa siasa) alikwenda mahakamani kuzuia issue yake hiyo isitajwe wala kujadiliwa so that ajipange yeye na mustakabali wake wakisiasa.
Hata kama asingeanzisha ACT, Still asingebakia mwanachama wa chadema. Angefukuzwa kwa namna yoyote coz hiyo ndo ilikuwa kaulimbiu na msimamo wa kina mbowe.
Ni mtazamo tu. Msijenge chuki!
TAWA , Tky mpk
Sijawahi kuona mtu asiye jua kutafakari Kama wewe
Watu wengine mnatumia kichwa kufugia nywele utumbo wote ulioandika hapo hujishtukii.Gazeti linamilikiwa na James Rugemalira unategemea nini hapo.Na mbaya zaidi James anashirikiana na Said Kubenea wa Chadema.Picha hujapata bado au nikumalizie kipande cha mwisho.
Watu wengine mnatumia kichwa kufugia nywele utumbo wote ulioandika hapo hujishtukii.Gazeti linamilikiwa na James Rugemalira unategemea nini hapo.Na mbaya zaidi James anashirikiana na Said Kubenea wa Chadema.Picha hujapata bado au nikumalizie kipande cha mwisho.
Ni kweli ZZK alitumika na Mengi kumtoa Mhongo kwenye sakata la ESCROW, Alipewa fedha hata hivyo alimsaliti tena Mengi kwa kumueleza JK habari ile iliyosemwa na Mengi.
Watu wengine mnatumia kichwa kufugia nywele utumbo wote ulioandika hapo hujishtukii.Gazeti linamilikiwa na James Rugemalira unategemea nini hapo.Na mbaya zaidi James anashirikiana na Said Kubenea wa Chadema.Picha hujapata bado au nikumalizie kipande cha mwisho.