Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.

Kuharisha ni ugonjwa hatari sana ingawa wengine wanauita kipindupindu.

Hata mie sijawahi bhana
 
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.
Ni tuhuma nzito, ni maswali mazito ambayo nafikiri kwa sasa sidhani kama ACT wanaweza kujibu
 
Hakika kwa muda mwingi nilidhani chadema wanamsingizia kwa sababu ya maslahi ya kimadaraka ndani ya chama
Kumuka OTTU jazz "wanaume tumeubwa maeeteso kuhangaika" haya mambo mengine ni fix tu kikubwa watoto waende choo kwanini tudanganyane bwanaaa:juggle:
 
YAKO WAPI YA ZITO NA DR. MKUMBO
Walipokuwa CDM Walikanusha sana suala la wao kuandaa chama kingine ambacho wataenda huko mara baada ya kuivuruga CHADEMA sasa kikowapi siku zote njia ya muongo ni fupi, leo kama wengi walivyosema hawa jamaa wapo ACT. sijajuwa kina JULIANA SHOZA, MWAMPAMBA na wengine kama nao wameungana na wasaliti wenzao.

KILA ninaposoma waraka wao ule walioukana baadae DR MKUMBO akadai ni yeye na wenzake ndio walioandaa waraka ule bali ZZK hahusiki nacheka sana, nakuishia kusema kweli njia ya muongo ni fupi. na hakika intellegency ya CDM kiboko.

Sasa nimelidhika kuwa safari yao ya kutumiwa na CCM kuudhoofisha upinzani inaendelea. SWALI je wanafanya hayo kwa manufaa ya wananchi au MAFISADI? Ha ha haaa! tuendelee kutazama filamu yetu ambayo skript yake tulishaiona kwenye mijadala yetu mbalimbali enzi zile hawa jamaa wakiwa bado wapo CDM, kwani mpaka sasa naona wanaenda sawa na skript, kweli au si kweli MAKAMANDA??

NAAMINI UKAWA watashinda endapo hawataruhusu MAFISADI kupenyeza rupia na fitina unajuwa kwa nini? waliotusaliti hawajuwi nani atakuwa staring wa filamu hii, je ni CCM au mfadhili wao EL? Trust me kitawaka tu muda sio mrefu, maana Mungu hamfichi mnafiki. na ikumbukwe kuwa sauti ya wananchi ni sauti ya Mungu.
FOR ALL TRAITORS: THIS IS THE BEGINNING OF YOUR END.
 
Yeyote ndumila kuwili fukuza... Mambo ni mabaya ktk taasisi mbalimbali na hali si shwari na rushwa zimeshamili kwa kuwa. Mnachekewa. Nguzo za utawala bora zinadhihakiwa na raia wanaona bora jana kuliko leo. Watu wa aina ya Zz ni miongoni mwao. Fukuza tu.
 
Hongera sana Mkuu Ngongo kwa kujiunga na chama cha Ayatullah Khameini ZZK.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani baada ya kuona anadai m700 za kumalizia kazi pamoja na vijana umeona uwahi hiyo fedha pamoja na kazi. Uzuri mwenyewe kutokana na maelezo yako ya kina unaufahamu fika uongo wa Zitto pamoja na usaliti wake. Go, go. Enjoy the money. After all yuko kiongozi mmoja wa shirika la umma anayempa pesa kulinga kulingana na magazeti ya leo.
 
Hata kama utaandika mafumbo haitakusaidia ZITO KABWE sio saizi yenu ni aina ya wanasiasa adimu sana
Kupatikana,tulimpata NYERERE, SOKOINE na sasa ZITO KABWE porojo zenu haziwezi kumchafua kamwe.
 
Hakuna mtu atakyekujibu uhuo uharo wako, msaliti padre slaa aliyelelewa na ccm sa ivi na yeye anautaka URAHISI, au hujui hilo

Nooo. Wako wew ni usaha kabisa! Jibu hoja kama huwez shut up your a.s
 
Ngongo,hongera sana,ila usinisahau kwenye UTUKUFU wako huko ACT.Msalimie sana Mkuu wa ACT,mwambie atueleze tu hizo faranga za kukimbiza mwenge anazipata wapi?Hilo tu...................
 
Habari za USALITI na UKIBARAKA wa zito hatujaanza kuzisika leo, hii imenifanya nitulie kidogo niunganishe dots za kuali zake..

1. Alipoulizwa kuhusu mawasiliano yake na Jack Zoka, na kupewa pesa na usalama.

ALIJIBU : "naangiliwa mawasliano yangu binafsi"

UKITAFAKARI utaona wazi ALIKWEPA SWALI, hivyo mawasiliano hayo yapo. na amekuwa kipewa pesa na usalama kwa lengo la kuihujumu CHADEMA.


2. Bungeni aliposhutumiwa kuomba na kupewaza ESCROW pesa za kumtibia Mama yake (RIP Mama Shida) .

ALIJIBU : "Nakumbushwa msiba wa mama yangu, tumuache apumzike..."

UKITAFAKARI utaona hakujibu swali husika, alikwepa kwa kujificha kwenye msiba wa Mama yake. HIVYO NI KWELI ALIKULA PESA ZA ESCROW.

3. Yalipowekwa wazi mawasiliano yake ya email na Mwigulu, hata gazeti la MAWIO kuchapisha

ALIJIBU: hayo yamehaliliwa kwa photoshop

UKITAFAKARI, unaona wazi HAKUKANA , wala kulichukulia hatua gazeti..hivyo mawasiliano hayo NI KWELI YAPO.


ZIBA MASIKIO , NA TAFAKARI MWENYEWE ZAIDI UTAMUONA USALITI NA KIBARAKA WA ZITO ULIVYO..

HAKUNA MSALITI ALIYEWAHI KUBAKI SALAMA.
 
Msaliti ameshatoka kwenye chama kuendelea kumfuatilia ni kuonyesha udhaif wenu pambaneni kwa hoja
 
Hakuna mtu anayemfuata Zitto lakini haki ya kumjadili msaliti,mnafiki,ndumilakuwili ipo pale pale.


Msaliti ameshatoka kwenye chama kuendelea kumfuatilia ni kuonyesha udhaif wenu pambaneni kwa hoja
 
Hakuna mtu anayemfuata Zitto lakini haki ya kumjadili msaliti,mnafiki,ndumilakuwili ipo pale pale.

Kwanza asipojadiliwa na ukweli kuwekwa wazi anapata nafasi ya kupotosha watu wengi wenye uelewa mdogo. Kama anavyodanganya kuwa eti escrow yeye ndio kaibua na kashfa kibao yeye alikuwa kiranja.
Yuda Iscariot's msaliti anasemwa mpaka Leo ingawa kafa miaka zaidi ya 2000 itakuwa huyu aliye hai? Usaliti ni chukizo hata kwa Mungu acheni asemwe tuu ili watoto wetu wajiepushe na laana hiyo
 
Habari za USALITI na UKIBARAKA wa zito hatujaanza kuzisika leo, hii imenifanya nitulie kidogo niunganishe dots za kuali zake..

1. Alipoulizwa kuhusu mawasiliano yake na Jack Zoka, na kupewa pesa na usalama.

ALIJIBU : "naangiliwa mawasliano yangu binafsi"



UKITAFAKARI utaona wazi ALIKWEPA SWALI, hivyo mawasiliano hayo yapo. na amekuwa kipewa pesa na usalama kwa lengo la kuihujumu CHADEMA.


2. Bungeni aliposhutumiwa kuomba na kupewaza ESCROW pesa za kumtibia Mama yake (RIP Mama Shida) .

ALIJIBU : "Nakumbushwa msiba wa mama yangu, tumuache apumzike..."

UKITAFAKARI utaona hakujibu swali husika, alikwepa kwa kujificha kwenye msiba wa Mama yake. HIVYO NI KWELI ALIKULA PESA ZA ESCROW.

3. Yalipowekwa wazi mawasiliano yake ya email na Mwigulu, hata gazeti la MAWIO kuchapisha

ALIJIBU: hayo yamehaliliwa kwa photoshop

UKITAFAKARI, unaona wazi HAKUKANA , wala kulichukulia hatua gazeti..hivyo mawasiliano hayo NI KWELI YAPO.


ZIBA MASIKIO , NA TAFAKARI MWENYEWE ZAIDI UTAMUONA USALITI NA KIBARAKA WA ZITO ULIVYO..

HAKUNA MSALITI ALIYEWAHI KUBAKI SALAMA.

Kuhusu Escrow:
Swali la kizushi ni hivi: nani alifaidika zaidi na mjadala ule na fall out yake?
Jibu: Inawezekana kuwa ni wagombea wote wa UPrezidar, hususan, kinara wao dhidi ya incumbent PM
Unganisha na hilo
 
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.

Kwenye zile tuhuma 11 mbona hilo amkuliandika ? Nadhan lilipaswa kuwa la kwanza Kabisa kutokana na uzito wake . Basi liongezee liwe la 12 basi ilimfurahie
 
Back
Top Bottom