Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Aisee jamani tumeshachoka sasa, zito mmefukuza kaondoka bado maneno hayaishi?

Hivi mfano umempa talaka mke wako alafu akaondoka ww uliyetoa talaka unalalamika tuu, mara oohh ulikuwa unanisaliti, maara oohh mwananmke gani wewe? sasa talaka umeshatoa na mtalaka kaondoka wewe bado unalalamika nini?

Nyie Chadema acheni upuuzi tumeshawachoka na kulialia kwenu haaa
Si hayo ndiyo maneno yenu dhidi ya mushumbusi 2010? Umesahau? Mlimtafuta mume wake wa zamani ili mgeuze kura za urais?
 
huoni yuko mbali na chamaaa?? na hamna mtu mwenye story nae kama mnakumbuka huyu shibuda ailikuwa ccm wakamtataa kachukua chadema ili apate kula
 
Naomba mnikumbushe; ule Mkutano/kikao cha Wassira, Zoka, Zitto, Nchemba, Igondou pale Sea Cliff ulikuwa unahusu nini tena? Yale Mamilioni zilizotumwa Ujerumani na baadae kurejeshwa kwa njia ya Western Union na kugawiwa akina Juliana Shonza, Mwampamba, Mwigamba zilikuwa malipo ya nini? ... Safari yake South Sudan na prezoo ilikuwa ya nini? Uwakala wa Airtel aliupataje? anashauri nini Twaweza? ...ZZK ni Mole wa CCM alieng'olewa CHADEMA na sasa wamempa kitengo cha ACT ... Fedha za Uendeshaji wa ACT zote zinatoka CCM ...
 
Ni kwel ana akili sana za kiusaliti kuliko yeyote Tanzania. Kwa usaliti tu, ni balaa

Tulia dawa ikuingie Mzalendo yupo kazini. Simple logoc kama wewe ni mfanyakazi utanielewa. Kwenye kazi kama mfanyakazi anafanya kazi kampuni x na kwa dhati yake akaona mwajiri anamzingua basi mfanyakazi huyo huanza kidogo kidogo kutuma maombi ya kazi sehem nyingine na katika kipindi hiki cha kutuma maombi huyo mfanyakazi hawezi mjuza mwajiri wake wa kampuni x na endapo akibahatika ajira kwa mwajiri mpya y basi huyo mwajiriwa ataenda kubwaga manyanga kwa mwajiri x. Note: sheria za kazi hazimruhusu huyo mwajiriwa kutafuta kazi akiwa kazini kwa mtu. Its a normal life. Kama sio mburula umenielewa.
Jembe ZZK alipenda sana afanye implemantation nzuri za kitaifa kupitia chama cha mtei lakini mlizingua wenyewe. Sasa kaacha lakini bado mnamfata fata?
 
Tulia dawa ikuingie Mzalendo yupo kazini. Simple logoc kama wewe ni mfanyakazi utanielewa. Kwenye kazi kama mfanyakazi anafanya kazi kampuni x na kwa dhati yake akaona mwajiri anamzingua basi mfanyakazi huyo huanza kidogo kidogo kutuma maombi ya kazi sehem nyingine na katika kipindi hiki cha kutuma maombi huyo mfanyakazi hawezi mjuza mwajiri wake wa kampuni x na endapo akibahatika ajira kwa mwajiri mpya y basi huyo mwajiriwa ataenda kubwaga manyanga kwa mwajiri x. Note: sheria za kazi hazimruhusu huyo mwajiriwa kutafuta kazi akiwa kazini kwa mtu. Its a normal life. Kama sio mburula umenielewa.
Jembe ZZK alipenda sana afanye implemantation nzuri za kitaifa kupitia chama cha mtei lakini mlizingua wenyewe. Sasa kaacha lakini bado mnamfata fata?

Ndiyo ujinga aliyowajaza kwenye vifuvu vyenu hivyo. Maana kuna mj.inga mwenzio kasema hayo hayo kabla. Kweli mtu ni kichwa na si tumbo.
 
Chagadema hamwachi kuweweseka na Zitto inaoneka mwajuta kwanini mlimfukuza. kweli majuto mjukuu
 
Sina hofu chembe kaka, maana usaliti wake tumeufahamu bado wewe na ninaamini muda si mrefu utaziona rangi zote za zito kabwe

Kama vile nawe utakavyogundua kuwa huo unaouita usaliti ni hadithi za kutunga.Naamini Ben Saanane analijua game hili vizuri kuliko wewe.So kama anavyosema Zitto WEKA AKIBA YA MANENO
 
ACT ni kirusi kilicho pandikizwa na CCM,dawa ya kirusi hicho ni UKAWA.Nichungu ni ngumu kumeza ila ina tibu ufisadi na usaliti.
 
Blaza...yaaani mara hii umeshasahau kuwa mlimfukuza zzk kutoka saccos yenu?Sasa ulitaka abaki nanyi na hali hamumtaki?Wanachama wa act ni wazalendo wa tz pasipo jali chama gani...Mlimuona kuwa ana siasa za kichovu...achaneni naye nanyi muendelee kujenga upinzani...!!..Tukupo pamoja Act....Nasubiri kadi ya uanachama.

Nimejaribu kufuatilia kwa utulivu juu ya mwenendo wa kiongozi mkuu wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe na kwa kweli sijaelewa dhamira yake ni nini hasa kisiasa.

Wapinzani wanaungana ili kung'oa kisiki kilichoshindikana kwa muda wa miaka takribani miaka 20 sasa.

Ninapofuatilia tabwe zake na mikakati yake ya kisiasa naona anakilenga sana chama chake cha CHADEMA na naona ni kama ametumwa na Watawala kuvuruga upinzani hapa nchini.

Ombi langu kwako ewe Zitto Kabwe kama kweli umedhamilia kuleta upinzani wa kweli katika Taifa letu ni vema ukawa na ajenda za kujenga upinzani imala kwa kueneza sera za chama chako na hasa dhidi ya chama Tawala ili basi Chama chako kisaidie kuondoa chama tawala na wananchi tuweze kupumua dhidi ya Rushwa na Ufisadi unaolitafuna Taifa letu la Tanzania.

Kuanzisha chama na kuanzisha mapambano dhidi ya vyama vya upinzani badala ya chama tawala ni kuleta mkanganyilko juu ya hasa malengo ya chama chako katika demokrasia ya nchi ni za namana gani?

Ni vizuri hata kama una chuki na vyama vingine ambavyo haviko madarakani ukaanzisha upinzani dhidi ya watunga sera na si wapinzani wenzako!

Najua ujumbe huu utausoma humu katika jukwaa letu la kijamii na niombe wadau wote msaidie katika kutoa ushauri wa kujenga na si kiushabiki zaidi.

Tujaribu kujenga kizazi chenye fikra pevu na zenye mashiko kwa manufaa ya Taifa na si kufanya mambo yanaooyesha wazi upuuzi wetu wa kihistoria.

ni vema tukajifunza kuvumiliana na si kukomoana na kulipiziana visasi kama anavyojaribu kufanya Zitto dhidi ya CHADEMA!

Na ukwelii ni kwamba akiendelea na mwenendo huu nakuhakikishia Zitto kuwa kwa Tanzania hii huwezi kwenda mbali na mwisho utakuja kurudi kwenye vyama hivi ulivyoviacha na kuanzisha chama chako kipya na huu ndiyo ubinafsi ambao uliuonesha ndani ya chama chako cha awali.

Nakutakia kila la heri!!
 
Mtaweweseka sana mwaka huu..na bado sana...kaeni mkao kucheza mziki wa Act katika uchaguzi mkuu.....

- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.
 
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.

Sasa si umeona unataka nini tena unataka uchakachuliwe kwanza au?
 
Anaye weza kusema zito si msaliti ni mwendawazimu au zimemluka na milembe pana muhusu.
 
Anaye weza kusema zito si msaliti ni mwendawazimu au zimemluka na milembe pana muhusu.

Asiyeweza kuona usaliti wa zito ni kichaa peke yake ambaye anafuatilia siasa oya oya bila kutafakali mambo
 
Mkuu nikusahihishe hapo,chadema sio chama ila ni SACCOS ya wachaga

Mkuu siku moja utaweza kutofautisha kati ya SACCOS na chama, kama ilivyo tofauti kati ya MAFICCM (Mafisadi CCM) na CCM ya Nyerere.
 
Blaza...yaaani mara hii umeshasahau kuwa mlimfukuza zzk kutoka saccos yenu?Sasa ulitaka abaki nanyi na hali hamumtaki?Wanachama wa act ni wazalendo wa tz pasipo jali chama gani...Mlimuona kuwa ana siasa za kichovu...achaneni naye nanyi muendelee kujenga upinzani...!!..Tukupo pamoja Act....Nasubiri kadi ya uanachama.

sasa kama neno saccos mlikuwa mnalibahatisha kulijua kwasasa ACT ndo saccos rasmi ya ZITTO kwa hisani ya CCM ukatae ukubali ukwili ndo huo.
 
Mkuu siku moja utaweza kutofautisha kati ya SACCOS na chama, kama ilivyo tofauti kati ya MAFICCM (Mafisadi CCM) na CCM ya Nyerere.

Kweli chadema ni SACCOS ya upinzani wakati Ccm ni SACCOS iliyo madarakani
 
Kama vile nawe utakavyogundua kuwa huo unaouita usaliti ni hadithi za kutunga.Naamini Ben Saanane analijua game hili vizuri kuliko wewe.So kama anavyosema Zitto WEKA AKIBA YA MANENO

ZITO alishasena tusuwaamini wanasiasa sasa na wewe usumwamini ZZT sio kila atakachosema wewe ni kumeza tu angalia usijekuwa umeeza sumu.
 
Back
Top Bottom