Kwanini Yesu na Muhammad walikufa lakini shetani hafi?

Kwanini Yesu na Muhammad walikufa lakini shetani hafi?

Kwa ujinga wako uliwahi ona wapi kiumbe kilichohai kisionekane?upumbavu ni dhambi unapaswa kuufikirisha ubongo wako siyo kila ulicholetewa na kulishwa na wakoloni ni sahihi,yesu afe halafu awe hai kweli?
sasa unabishana na mimi au unabishana na maandiko matakatifu ya Biblia? Unaambiwa aliteswa akafa akazikwa, siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu. akapaa mbinguni kwa Mungu Baba. Yesu yu Hai. Mjuba mambo ya rohoni hujulikana kwa jinsi ya rohoni, ukiyaleta mwilini kwenye akili hizo ulizo nazo utafeli pakubwa na kuonekana ni kituko katika ulimwengu wa roho
 
sasa unabishana na mimi au unabishana na maandiko matakatifu ya Biblia? Unaambiwa aliteswa akafa akazikwa, siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu. akapaa mbinguni kwa Mungu Baba. Yesu yu Hai. Mjuba mambo ya rohoni hujulikana kwa jinsi ya rohoni, ukiyaleta mwilini kwenye akili hizo ulizo nazo utafeli pakubwa na kuonekana ni kituko katika ulimwengu wa roho
Nibishane na mtu ambaye ni wazi kabisa ameaminishwa na hajui anachokiamini kuwa ni kweli au uongo?yesu anauspecial upi kuliko viumbe vingine hadi aishi kusikojulikana au ambako hakupo?jiongeze!!
 
Ikiwa unataka kulinganisha katika viumbe hivyo utakuwa unakosea, kwani binadamu huwezi kumlinganisha na kiumbe asiyekuwa binadamu.
Athari za kihistoria zinathibitisha uwepo wao kutokana na maandiko yanavyoeleza, hata kaburi alilozikwa mtume Muhammad lipo Madina.
Vipi tunaweza kuthibitisha uwepo wa shetani hadi leo?
Tatizo la wafia dini za kuja mlio wengi hamfikirishi bongo zenu nje ya biblia na kuiona biblia kuwa ni kitabu cha Mungu wa kweli pasipo kujiuliza kwanini kuwe na vitabu vingine vya Mungu vinavyopingana na biblia wakati Mungu ni mmoja??
 
Tatizo la wafia dini za kuja mlio wengi hamfikirishi bongo zenu nje ya biblia na kuiona biblia kuwa ni kitabu cha Mungu wa kweli pasipo kujiuliza kwanini kuwe na vitabu vingine vya Mungu vinavyopingana na biblia wakati Mungu ni mmoja??

 
Yesu alitabiriwa namna atazaliwa, kuishi, kufa kwake na kufufuka, yote hayo yalielezwa hata kabla hajaja maana kila tukio lilikua na sababu zake kwa ajili yetu sisi.

Sasa kwa Mohammad, hajatabiriwa popote, kakurupuka huko pangoni na kuanzisha dini yake, akaibuka na kitabu kilicho kinyume na vitabu alivyokuta, hata maelezo yake ya uumbwaji wa mtu wa kwanza Adam, yeye ameeleza yake kinyume na aliyoyakuta, dini yake imejikita sana kwenye ngono, mara mabikira 72, halafu sijui eti inaruhusiwa uwongo kwenye hiyo dini ukizingatia kwenye Ukristo, mojawapo wa amri kumi hairuhusiwi uwongo hata katika hali yoyote.
Au inawezekana mohammad ni mpinga Kristo aliyetabiriwa, maana amesababisha mauaji ya Wakristo wengi sana.

adriz MOTOCHINI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom