LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 27,023
- 41,677
mbinguniAnapatikana wapi huko aliko hai??
mbinguniAnapatikana wapi huko aliko hai??
Ikiwa unataka kulinganisha katika viumbe hivyo utakuwa unakosea, kwani binadamu huwezi kumlinganisha na kiumbe asiyekuwa binadamu.Kuna ugumu gani hapo kuelewa kuwa yesu na muhamad hawakuwepo na kama walikywepo basi hawakuwa na nguvu yoyote ndiyo maana shetani yupo hadi leo.
Nimejau kupitia maandiko matakatifu(Bible)Hayo umeyajua kwa akili yako au umeelezwa hivyo kwa akili ya watu wengine??
Sio kweliHakuna kitu rahisi kama kupinga.
Labda kama unaeleza hisia binafsi kuhusu huyo jamaa kwa upande wako ila kiujumla hakuna ugumu kwenye kupinga hasa kwenye kupinga uwepo wa Mungu, hoja ni zilezile na hoja kubwa kudai uthibitisho wa uwepo wa Mungu basi.Sio kweli
Hata mimi nilidhani hivyo hapo mwanzo
The jamaa is best ever see humu, amehusika kwa namna ninavyohisi jamii japo si lazima niwe yeye
𝙼𝚔𝚞𝚞 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚊𝚝𝚎𝚗𝚐𝚎𝚗𝚎𝚣𝚊 𝚑𝚘𝚓𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚗𝚐𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚢𝚘 𝚜𝚒𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚞𝚊 𝚗𝚊𝚢𝚘Shetani na Mungu wanakamilishana. Bila shetani Mungu Atapoteza maana/ umuhimu. Ndiyo maana shetani yeye kawekwa wa mwisho kabisa kuangamizwa. Na baada ya hapo hakutakuwa na kifo tena wala mateso na Mungu Ataweza kusimama peke yake bila upande wa maovu na dhambi kumsaidia ...
By the way Yesu yuko hai...
Kobazi umeandika nini? Sijaweza kusoma. Kama ni matusi basi yakurudie mwenyewe na kizazi chako 👹𝙼𝚔𝚞𝚞 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚊𝚝𝚎𝚗𝚐𝚎𝚗𝚎𝚣𝚊 𝚑𝚘𝚓𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚗𝚐𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚢𝚘 𝚜𝚒𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚞𝚊 𝚗𝚊𝚢𝚘
Hisia binafsi zinaweza kuhusika na ndio maana nimemlengaLabda kama unaeleza hisia binafsi kuhusu huyo jamaa kwa upande wako ila kiujumla hakuna ugumu kwenye kupinga hasa kwenye kupinga uwepo wa Mungu, hoja ni zilezile na hoja kubwa kudai uthibitisho wa uwepo wa Mungu basi.
Ndio maana nikasema unachoeleza ni hisia binafsi zaidi kuhusu huyo jamaa ila tofauti na hivyo huyo jamaa kawazidi wenzake ubishi tu ila hoja ndio ndio zilezile.Hisia binafsi zinaweza kuhusika na ndio maana nimemlenga
Lakini mbali na hilo tena mbali na upuuzi wa kiimani
Ni mmoja kati ya expect humu jf mwenye mchango chanya na nimeoa anapaswa afahamu hilo
Nilikuwa na mstari wa hisia binafsi na uhalisia hapo awali ila yeye kahusika sana kuukoleza katika ubora wake , na kunifanya nisione vibaya kuhisi hivi nilivyo
Hiki ndio ninachoweza sema kwa wakati huu
Siwezi jua mlikua kwenye mijadala ipi na ubobevu wenuNdio maana nikasema unachoeleza ni hisia binafsi zaidi kuhusu huyo jamaa ila tofauti na hivyo huyo jamaa kawazidi wenzake ubishi tu ila hoja ndio ndio zilezile.
Binafsi huwa napenda kuwa challenge hao jamaa hasa huyo jamaa yako na aliishia kuniweka kwenye ignore list.
Mkuu ndio maana nakwambia kupinga ni jambo rahisi, huyo jamaa ukimchallenge yeye ndio utaelewa nachosema unaweza usiamini kama ndio yeye, namjua vizuri tumejadiliana sana mada hizi na kuna wapo member humu walikuwa wakimchukulia huyo jamaa kama kama wewe umchukuliavyo ila baadaye walikuja kuona hamna kitu. Ndio maana sasa hivi kaja na mbinu ya kuweka watui ignore list.Siwezi jua mlikua kwenye mijadala ipi na ubobevu wenu
Ila kama alikuignore Iyo inamhusu mwenye zaidi na sio kesi yako
Ila ni mtu ambaye namkubali kwenye ujengaji wa hoja na mifano kwenye kutoa picha ya anachomaanisha
SI wengi humu wanauwezo huo mtu anaweza waza jambo zuri tu kichwani ila uwasilishaji ukawa changamoto na ndio maana migongano haiishi
Kwa ujinga wako uliwahi ona wapi kiumbe kilichohai kisionekane?upumbavu ni dhambi unapaswa kuufikirisha ubongo wako siyo kila ulicholetewa na kulishwa na wakoloni ni sahihi,yesu afe halafu awe hai kweli?sasa mohammad na shetani wapi na wapi mpaka uwalinganishe? Umeambiwa Yesu yu hai hayupo kwa wafu, kwa nini unalinganisha vitu tofauti?
Shetani hakuwahi kuvaa mwili ufaoKuna ugumu gani hapo kuelewa kuwa yesu na muhamad hawakuwepo na kama walikywepo basi hawakuwa na nguvu yoyote ndiyo maana shetani yupo hadi leo.