HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Kuna ugumu gani hapo kuelewa kuwa yesu na muhamad hawakuwepo na kama walikywepo basi hawakuwa na nguvu yoyote ndiyo maana shetani yupo hadi leo.
Na sisi waovu au sioYesu na mohamad walikuwa kwenye mission. Lusifa anasubili kichapo cha moto tu ni swala la mda tu
Sis yes alillipa deni letu issue ibaki kwet kumwamin yeye. Kinyum ya hapo unasepa na lusifa maan naye anatufa wa kwenda nao motoniNa sisi waovu au sio
Shetani anatuona physically, kwanini na sisi tusopewe uwezo ea kumuona ili tuweze kumkwepa?Sis yes alillipa deni letu issue ibaki kwet kumwamin yeye. Kinyum ya hapo unasepa na lusifa maan naye anatufa wa kwenda nao motoni
Una miaka mingapi?Kuna ugumu gani hapo kuelewa kuwa yesu na muhamad hawakuwepo na kama walikywepo basi hawakuwa na nguvu yoyote ndiyo maana shetani yupo hadi leo.
Shetani yupo wapi nami nije nimuone?Kuna ugumu gani hapo kuelewa kuwa yesu na muhamad hawakuwepo na kama walikywepo basi hawakuwa na nguvu yoyote ndiyo maana shetani yupo hadi leo.
Alishinda kifo nani alikuwa anamshindanisha na kifo na kwanini??YESU HAJAFA.ALISHNDA KIFO.SHETANI MDA WAKE UTAFIKA ATAANGAMIA MILELE
Itakusaidia nini ktk maisha yako??Una miaka mingapi?
Anapatikana wapi huko aliko hai??Shetani na Mungu wanakamilishana. Bila shetani Mungu Atapoteza maana/ umuhimu. Ndiyo maana shetani yeye kawekwa wa mwisho kabisa kuangamizwa. Na baada ya hapo hakutakuwa na kifo tena wala mateso na Mungu Ataweza kusimama peke yake bila upande wa maovu na dhambi kumsaidia ...
By the way Yesu yuko hai...
Acha ujinga huo uchanga au ukubwa wa kiroho unapimwaje?Hivi wewe ni mchanga kiroho?
Hayo umeyajua kwa akili yako au umeelezwa hivyo kwa akili ya watu wengine??Sis yes alillipa deni letu issue ibaki kwet kumwamin yeye. Kinyum ya hapo unasepa na lusifa maan naye anatufa wa kwenda nao motoni
sasa mohammad na shetani wapi na wapi mpaka uwalinganishe? Umeambiwa Yesu yu hai hayupo kwa wafu, kwa nini unalinganisha vitu tofauti?Acha ujinga huo uchanga au ukubwa wa kiroho unapimwaje?