Kwanini Wimbo wetu wa Taifa unabariki Afrika kwanza?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Sijaelewa siku zote ni kwa nini kwenye wimbo wetu wa Taifa tunaanza na Mungu Ibariki Afrika halafu ndiyo tunamuomba aibariki Tanzania yetu? Kwa nini tusimuombe aibariki Tanzania yetu kwanza, halafu ndiyo aifikirie Afrika? Yaani kwa nini ubeti wa KWANZA usiwe kuiombea TZ yetu kwanza, halafu wa Pili ndiyo uwe kuiombea Afrika iliyobakia?
 
Sijaelewa siku zote ni kwa nini kwenye wimbo wetu wa Taifa tunaanza na Mungu Ibariki Afrika halafu ndiyo tunamuomba aibariki Tanzania yetu? Kwa nini tusimuombe aibariki Tanzania yetu kwanza, halafu ndiyo aifikirie Afrika? Yaani kwa nini ubeti wa KWANZA usiwe kuiombea TZ yetu kwanza, halafu wa Pili ndiyo uwe kuiombea Afrika iliyobakia?
Imba wewe kama unavyotaka
 
Mimi huwa naonaga huu wimbo unatakiwa kubadilishwa, kwa sababu kuanza na Afrika ilikuwa wakati huo wa kupigania ukombozi wa nchi za Afrika. Kumbuka ni sisi tu duniani kote wimbo wetu wa Taifa, unaanza kuliombea kwanza Bara halafu ndo nchi. Unahitaji kubadilishwa, umeshapitwa na wakati.
 
Lakn guys nchi nyingi zimeachana na huyo wimbo nadhani imebaki katika ya zimbabwe ,Zambia na sisi.tunaweza kuwa na wetu mwingine kwani hata hiyo beat ilitungwa na mtu nadhani wa Zambia au zimbabwe
 
Pendekeza uimbweje hata ikibidi tengeneza maneno yatakayokubalika na kuishawishi serikali kubadili. Sio kupinga tu pasipo mapendekezo haina maana.
 
Pendekeza uimbweje hata ikibidi tengeneza maneno yatakayokubalika na kuishawishi serikali kubadili. Sio kupinga tu pasipo mapendekezo haina maana.


Mapendekezo si ndiyo hayo nimetoa kwamba Ubeti kwanza uwe Mungu ibariki Tanzania halafu wa Pili ndiyo Afrika!
 
Mimi huwa naonaga huu wimbo unatakiwa kubadilishwa, kwa sababu kuanza na Afrika ilikuwa wakati huo wa kupigania ukombozi wa nchi za Afrika. Kumbuka ni sisi tu duniani kote wimbo wetu wa Taifa, unaanza kuliombea kwanza Bara halafu ndo nchi. Unahitaji kubadilishwa, umeshapitwa na wakati.
Tanzania tulikuwa wazungumzaji kiswahili peke yetu wakati wengine wakiponda kiswahili.Sasa hivi KIswahili ni Lugha rasmi mikutano ya Umoja wa AFRIKA.

Afrika tunaelekea KUUNGANA huo wimbo wa Mungu ibariki Afrika utaushangaa kuwa wimbo wa UNITED STATES OF AFRIKA.Wacha tuuhifadhi.
Nchi nyingine zimeuacha sababu za ubaguzi wa Rangi.Nchi za kaskazini mwa afrika wanajiona waarabu zaidi kuliko waafrika.Ni ujinga ujinga tu.Kwa hiyo kuimba MUngu IBARIKI afrika wanaona kichefu chefu wakati wako Afrika wangetaka waimbe Mungu ibarika ARABIA ndio maana hata ilipoibuka maasi ya Arab springs ya mapinduzi ya nchi za kiafrika za kaskazuni zenye waarabu Umoja wa Afrika haukutuma majeshi kuwasaidia kwani wanajiona waarabu saaana wakati ni waarabu koko tu walioko Afrika, ni sawa na wapemba tu.Mpemba kujiita mwarabu mtoto wa SUltani ni kujishebedua tu yeye ni mwarabu koko mzaliwa wa Pemba tu amtambue SHEIN au asimtambue ni mwarabu koko tu haji kuwa mwarabu hata siku moja.
 
Sijaelewa siku zote ni kwa nini kwenye wimbo wetu wa Taifa tunaanza na Mungu Ibariki Afrika halafu ndiyo tunamuomba aibariki Tanzania yetu? Kwa nini tusimuombe aibariki Tanzania yetu kwanza, halafu ndiyo aifikirie Afrika? Yaani kwa nini ubeti wa KWANZA usiwe kuiombea TZ yetu kwanza, halafu wa Pili ndiyo uwe kuiombea Afrika iliyobakia?
Mkimaliza UKUTA mtataka muandamane kisa wimbo wa taifa
 
Kwa sababu Africa ni moja tuna share mengi, kuanzia rangi, utamaduni, ujinga , maradhi umaskini, tuna rasilimali nyingi, na mwa Africa ni mwa Africa tu hata akiwa abroad. So nchi za Africa hazikuwepo Mpaka after berlin conference walipoligawa hili bara ndo zikatokea nchi mbalimbali. So waliotunga wimbo waliamini, kuhusu one Africa, na one blood ya uafrica.
 
Sijaelewa siku zote ni kwa nini kwenye wimbo wetu wa Taifa tunaanza na Mungu Ibariki Afrika halafu ndiyo tunamuomba aibariki Tanzania yetu? Kwa nini tusimuombe aibariki Tanzania yetu kwanza, halafu ndiyo aifikirie Afrika? Yaani kwa nini ubeti wa KWANZA usiwe kuiombea TZ yetu kwanza, halafu wa Pili ndiyo uwe kuiombea Afrika iliyobakia?
Kwa hiuo sasa wewe ulikuwa unatakaje
 
Kwa hiuo sasa wewe ulikuwa unatakaje


Ubeti wa kwanza uwe Mungu Ibariki Tanzania, halafu wa Pili ndiyo uwe Mungu ibariki Afrika, yaani Tanzania yetu kwanza halafu Afrika ndiyo ifuatie na siyo kinyume chake, Mungu hawezi kupokea hayo maombi!
 
Ubeti wa kwanza uwe Mungu Ibariki Tanzania, halafu wa Pili ndiyo uwe Mungu ibariki Afrika, yaani Tanzania yetu kwanza halafu Afrika ndiyo ifuatie na siyo kinyume chake, Mungu hawezi kupokea hayo maombi!
Sasa kwani afrika na tanzania ipi kubwa?ukishapata jibu ndio utagundua kwanini baba na mama yako walikuambia wakati wa kula uache wakubwa wanawe kwanza
 
Sasa kwani afrika na tanzania ipi kubwa?ukishapata jibu ndio utagundua kwanini baba na mama yako walikuambia wakati wa kula uache wakubwa wanawe kwanza


Siyo swala la ukubwa au udogo bali ni swala la umuhimu, labda ungeniuliza kati ya Tanzania na Afrika ipi muhimu?
Kwangu mimi jibu lake ni moja kwa moja Tanzania ni muhimu kuliko Afrika, mimi Tanzania inakuja kwanza halafu Afrika ndiyo inafwatia!
 
Mimi huwa naonaga huu wimbo unatakiwa kubadilishwa, kwa sababu kuanza na Afrika ilikuwa wakati huo wa kupigania ukombozi wa nchi za Afrika. Kumbuka ni sisi tu duniani kote wimbo wetu wa Taifa, unaanza kuliombea kwanza Bara halafu ndo nchi. Unahitaji kubadilishwa, umeshapitwa na wakati.

Sijaelewa siku zote ni kwa nini kwenye wimbo wetu wa Taifa tunaanza na Mungu Ibariki Afrika halafu ndiyo tunamuomba aibariki Tanzania yetu? Kwa nini tusimuombe aibariki Tanzania yetu kwanza, halafu ndiyo aifikirie Afrika? Yaani kwa nini ubeti wa KWANZA usiwe kuiombea TZ yetu kwanza, halafu wa Pili ndiyo uwe kuiombea Afrika iliyobakia?


Kwasababu sisi Ni waafrika kwanza then watanzania ndio unafuatia

Mpende Jirani yako kama nafsi yako.
 
Back
Top Bottom