Bongo ukitaka kutoboa, tumia akili yako zaidi, itegemee akili yako zaidi
Ukitegemea mifumo zaidi basi jua unacheza kamali
Kuna bwamdogo aliajiriwa na kampuni ya Electromotive diesel (EMD) La Grange Illinois huko huko USA ni mchafu Sana katika ishu za electronics katika age ya 20.. Huku kwa age hiyo bado ndo tupo darasani tunakalili hizo diode, transistor, IC na microprocessor inavyofanya kazi..
Fulsa na mifumo ipo vzr ulaya,taasisi za kiuchumi zipo kusaidia sio kisiasa kama huku kwetu,na hii inachangiwa na mfumo mzuri wa kisiasa na demokrasia.Ni jambo la kawaida unakuta kijana wa miaka 19 hadi 23 amesha Settle kwenye career yake, kwa mfano kijana wa kizungu kabla ya miaka 20 tayari ana hold computer certificate zenye kuheshimika like OSCP etc, na anafanya mambo makubwa, wakati huku kwetu unakutana na mwanafunzi wa Computer engineering miaka 20 ndio kwanza anaaza kujifunza HTML ni nini,
How do they choose their career path?
Wale wanaoota ndoto za darasani sijui kufanya mtihani au ndoto za shuleni ambapo watafsiri ndoto huwaambia kuwa utakutana na changamoto kwa kipindi hicho na blah blah zingine, Mimi huwa nawaambia kwa kiasi kikubwa sana sisi waTz tunaspend muda mrefu sana masomoni na unatutraumatize ndio sababu ya hizo ndoto, ni kitu kinachojirudia rudia sana akilini, na pengine kufanya mitihani ni kitu ambacho wengi wetu tulikuwa tunakiogopa sana katika maisha yote ya shule.Mfumo wa elimu wa hovyo..imagine unatumia nusu ya maisha yako darasani kukaririshwa madesa wala sio kuvumbua na kubuni vitu vipya.
#MaendeleoHayanaChama
Kweli Mkuu hii ndio inayotucheleweshaMfumo wa elimu wa hovyo..imagine unatumia nusu ya maisha yako darasani kukaririshwa madesa wala sio kuvumbua na kubuni vitu vipya.
#MaendeleoHayanaChama