Vida1
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 538
- 1,534
Huwa najiuliza kwanini Mwafrika ndiyo kiumbe pekee ambae akifariki haruhusiwi kupumzika akifa tu anapangiwa kazi nyingine ya kuwa mzimu wa ukoo.
Wazungu wao ni tofauti wakifa wanapumzika kwenye pumziko la milele hakuna kukabidhiana mikoba ya uganga wala uchifu Kama waafrika.
Baada ya kufikiria hili kwa kina kidogo nikahisi labda Ni kutokana na wao kuzikwa kwenye makaburi masafi na matulivu yanayoruhusu wao walale huko chini ya ardhi kwa amani na pumziko maridhawa la milele tofauti na waafrika ambao makaburi yao ni machafu na vichaka vya maovu yote ya ukahaba, uchawi, n.k vinawafanya ndugu zetu waliotangulia mbele za haki kuwa na nongwa na kutubania tuliobaki?
Jaribu kupita maeneo ya Posta karibu na Alliance francaise pale Greece Orthodox Church Kuna makaburi ya wazungu. Hata Mimi nikizikwa pale sitafuti kazi nyingine ya kuwa mzimu napumzika eternally. Forever and for Never kwenye fukuto la Amani. Sina haja ya kutaja makaburi ya Africa yanafahamika kwa uchafu wake na matunzo hafifu.
Wazungu ni binadamu wa daraja la juu sana. Niliwahi kufika makaburi ya Quebec, Canada asee. Makaburi yananukia Bigi jiii na Vanilla. Wamepanda miti ya yenye harufu nzuri ya aromatic scent miti na hewa yote ya ile cemetery inanukia Hadi unatamani ufe wakuzike pale pale unuse ile harufu milele.
Nawaheshimu Sana wale binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wao ni tofauti wakifa wanapumzika kwenye pumziko la milele hakuna kukabidhiana mikoba ya uganga wala uchifu Kama waafrika.
Baada ya kufikiria hili kwa kina kidogo nikahisi labda Ni kutokana na wao kuzikwa kwenye makaburi masafi na matulivu yanayoruhusu wao walale huko chini ya ardhi kwa amani na pumziko maridhawa la milele tofauti na waafrika ambao makaburi yao ni machafu na vichaka vya maovu yote ya ukahaba, uchawi, n.k vinawafanya ndugu zetu waliotangulia mbele za haki kuwa na nongwa na kutubania tuliobaki?
Jaribu kupita maeneo ya Posta karibu na Alliance francaise pale Greece Orthodox Church Kuna makaburi ya wazungu. Hata Mimi nikizikwa pale sitafuti kazi nyingine ya kuwa mzimu napumzika eternally. Forever and for Never kwenye fukuto la Amani. Sina haja ya kutaja makaburi ya Africa yanafahamika kwa uchafu wake na matunzo hafifu.
Wazungu ni binadamu wa daraja la juu sana. Niliwahi kufika makaburi ya Quebec, Canada asee. Makaburi yananukia Bigi jiii na Vanilla. Wamepanda miti ya yenye harufu nzuri ya aromatic scent miti na hewa yote ya ile cemetery inanukia Hadi unatamani ufe wakuzike pale pale unuse ile harufu milele.
Nawaheshimu Sana wale binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app