Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Kwa hiyo waafrica wote walikuwa wametawaliwa na Nyerere na kuongozwa na siasa ya ujamaa na kujitegemea!. Kazi kweli kweli.Kutoa ni moyo si utajiri..wahenga walinena
Nafikiri tumewafundisha watu wetu kusaidiwa na si kusaidia...(mistake)
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Mindset for 26 years of ujamaa na fikra sahihi, kizazi kimeharibika vibaya..tujitahidi kuwaelemisha watoto wetu waondokane na mindset ovu.
Kutoa ni moyo si utajiri..wahenga walinena
Nafikiri tumewafundisha watu wetu kusaidiwa na si kusaidia...(mistake)
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Mindset for 26 years of ujamaa na fikra sahihi, kizazi kimeharibika vibaya..tujitahidi kuwaelemisha watoto wetu waondokane na mindset ovu.
Unajua Mkuu mwanakijiji kuna kitu kingine nimekinotice, utakuta News channel TV karibu zote katika siku ya jana zinatoa updates ya nini kinaendelea Haiti at least in every 30mins. Hizi si TV za serikali ati........ Sasa njoo kwetu TV tena ya serikali habari za maafa tena nchini mwetu mnapewa wakati wa taarifa ya habari tu, tena inaweza hata isiwe ya kwanza..............
Sasa tujiulize inakuwaje TV za Marekani tena binafsi zinasuspend hata vile vipindi muhimu kuripoti maafa tena ya nchi nyingine???
"I AM INCLINED TO BELIEVE WE DON'T VALUE A HUMAN LIFE"
Anavuna alichopanda, oh wala siwehuki..chochote nakunywa kahawa kama kawaida.Chuki yako dhidi ya Nyerere (RIP) itakufanya uweuke sasa, kwani Nyerere alitawala Afrika nzima?
Anavuna alichopanda, oh wala siwehuki..chochote nakunywa kahawa kama kawaida.
Ndio faida ya kuweka misingi mibovu inakufuata popote.
Ndugu yangu Mwanakijiji hii ni bongo bwana hatuaminiani wachangishaji wenyewe ndoo hao hao, nasikia watu wamejenga kwa misaada ya mabomu ya Mabagala, kile kitengo cha maafa kilicho chini ya PM wakipokea misaada 10% ndiyo inaenda kwa walengwa 90% hujui inakwenda wapi utakuwa na moyo tena wa kuendelea kutoa.
Umesema hapo ulipo watu wameanza kutoa misaada pamoja na nguo sasa ni tofauti na huku bongo leo nikitoa shati uwapelekee walengwa kesho yake nakuona wewe tena umelivaa ni kazi kweli kweli bongo.
Wakati wowote yanapotokea majanga, aidha ndani ya nchi zao u hata nje ya nchi zao raia wa nchi zilizoendelea wamekuwa na haraka ya kusaidia na kutoa misaada kwa haraka zaidi. Ninauliza hili nikilinangisha na mwitikio wa watu wetu kwenye majanga vile vile.
Leo hii wakati Haiti imekumbwa na tetemeko la ardhi, tayari wenzetu wameshaweka utaratibu wa watu wa kawaida kuchangia taasisi mbalimbali ikiwemo chama cha msalaba mwekundu. Na tayari hadi watoto wa shule hapa nilipo wameanza kukusanya nguo na vyakula vya makopo kupeleka huko Haiti!
Kwanini sisi, inakuwa mbinde sana kujitokeza kusaidia!? Yawezekana ni kweli Mungu amewapendelea wenzetu hawa kwa kuwapa moyo wa ukarimu zaidi kulikop watu weusi? Yawezekana wenzetu wanajali wenzao hata wageni zaidi kuliko sisi wengine? Yawezekana labda sisi tunapenda sana kuzungumza na kuonesha madhaifu kuliko kuonesha mfano wa kutenda?
Na wale Watanzania ambao wamejitokeza kuchangia hadi hivi sasa ndugu zao waliopatwa na mafuriko yawezekana wamefanya hivyo kwa sababu ni matajiri zaidi au ni moyo wao wa kutoa?
Kwa kweli nahisi kuchanganyikiwa!
.........Utoaji ni roho ya mtu, ila hawa watu weupe wamejaliwa sana hii roho ya utoaji.
Sisi weusi wapo wenye roho hii pia ila ni wachache, wengi wao hadi wasukumwe ndio watoe.
Kutoa ni roho sio utajiri.
Unajua Mkuu mwanakijiji kuna kitu kingine nimekinotice, utakuta News channel TV karibu zote katika siku ya jana zinatoa updates ya nini kinaendelea Haiti at least in every 30mins. Hizi si TV za serikali ati........ Sasa njoo kwetu TV tena ya serikali habari za maafa tena nchini mwetu mnapewa wakati wa taarifa ya habari tu, tena inaweza hata isiwe ya kwanza..............
Sasa tujiulize inakuwaje TV za Marekani tena binafsi zinasuspend hata vile vipindi muhimu kuripoti maafa tena ya nchi nyingine???
"I AM INCLINED TO BELIEVE WE DON'T VALUE A HUMAN LIFE"