Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,672
- 51,957
Mzee wa Mama J... Ngoja nitafute huo uziDeep pond
Mzee wa Mama J... Ngoja nitafute huo uziDeep pond
Kwamba ndio alipakuliwa kwenye sahani la bati...😳Deep pond
Acheni roho mbaya wakuu...😜Mzee wa Mama J... Ngoja nitafute huo uzi
Huwezi amini naangaika searching keywords zinakataa.Acheni roho mbaya wakuu...😜
wanalea watoto kama jinsi wao walivyolelewa.....poverty is realAsilimia kubwa ya familia zetu waswahili wenye kipato na wasiyo n kipato ukienda angalia mahali ambapo watoto hulala unapata maswali sana
Unakuta watoto wanalalia godoro limechoka,
Unakuta watoto hawana shuk wanajifunika mitandio, wengine khanga, wengine vitenge au shuka zimechakaa
Unakuta chumba cha watot kichafu kama vile mlezi hayupo
Unakuta chumba cha watoto nguo zimetupwa tupwa yani hakuna mpangilio, wakati mama yupo, baba yupo
Hii hali si kwa watu wenye kipato cha chini tu hata wenye kipato cha kati wengine kipato kikubwa ambao wana uwezo wakunua mashuka ya kujifunika ila wao watoto hawawajali kabisa
Wewe hapo unayesoma uzi huu vipi wanao wanalala Mazingira mazuri ebu kakague chumba cha watoto uone
Ningeuleta, sema skuizi sioendi kufukua makaburi mengi yameoza...🤗Huwezi amini naangaika searching keywords zinakataa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa mmoja alikua akileta stori nyingi kuhusu hekaheka zake na mama J, basi skumoja hakuacha pesa ya meza nyumbani kwake ambapo alijinadi kwamba ni mambo safi.
Jioni alipo rudi akakuta ameandaliwa mchemsho wa jogoo basi akaja kututambia hapa ndani akatupia na picha.....🤣
Hapo ndipo kosa lilipo anzia, maana wana Jf hawaku muacha salama kwa picha ya bakuli lile la bati lililo choka ndio anakulia mchemsho wa supu...😜
Aloooooo.... skuhiyo nilicheka sana....😝
Shkamoo dada...😜😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tena supu ya kuku kibudu!!
Ila kaka wewe mpanaaa!
🤣🤣🤣Alipost hapa kwenye huu uziLete link nione na mimi
Mbona za bia na kuchangia hrusi wanazo jibu ni Wana udini wa fikra godoro hata elf 50 unapata🤣🤣🤣waliwazaa kwa bahati mbaya kwenye starehe zao
Hawakuwa na bajeti za kuwaandalia malazi bora
Si kweli maana nimesoma uzi wote🤣🤣🤣Alipost hapa kwenye huu uzi
Mh? Hata hivyo hakuna godoro la elfu 50!Mbona za bia na kuchangia hrusi wanazo jibu ni Wana udini wa fikra godoro hata elf 50 unapata
Hapana nimemwambia mdau alileta hapa🤣Si kweli maana nimesoma uzi wote
Kuna jamaa mmoja alikua akileta stori nyingi kuhusu hekaheka zake na mama J, basi skumoja hakuacha pesa ya meza nyumbani kwake ambapo alijinadi kwamba ni mambo safi.
Jioni alipo rudi akakuta ameandaliwa mchemsho wa jogoo aliekufa kwenye banda, basi akaja kututambia hapa ndani akatupia na picha.....
Hapo ndipo kosa lilipo anzia, maana wana Jf hawaku muacha salama kwa picha ya bakuli lile la bati lililo choka ndio anakulia mchemsho wa supu...
Aloooooo.... skuhiyo nilicheka sana....
Na kunasehem sahani ilionekana kama imeungua utadhani hua wanafunikia wali na kupalia mkaa kwa juu...🤣
Bakuli la kuuzwa kwa mafungu.
Na kunasehem sahani ilionekana kama imeungua utadhani hua wanafunikia wali na kupalia mkaa kwa juu...
🤣🤣@Deeppond mdogo wangu njoo ujibu kashfa hii ya UshimenNa kunasehem sahani ilionekana kama imeungua utadhani hua wanafunikia wali na kupalia mkaa kwa juu...🤣
Ya shule Bei gani,zile slessi za kutengenezea mito Bei ganiMh? Hata hivyo hakuna godoro la elfu 50!
Mleta post ana kitu huyu asipuuzwe,,Asilimia kubwa ya familia zetu waswahili wenye kipato na wasiyo n kipato ukienda angalia mahali ambapo watoto hulala unapata maswali sana
Unakuta watoto wanalalia godoro limechoka,
Unakuta watoto hawana shuk wanajifunika mitandio, wengine khanga, wengine vitenge au shuka zimechakaa
Unakuta chumba cha watot kichafu kama vile mlezi hayupo
Unakuta chumba cha watoto nguo zimetupwa tupwa yani hakuna mpangilio, wakati mama yupo, baba yupo
Hii hali si kwa watu wenye kipato cha chini tu hata wenye kipato cha kati wengine kipato kikubwa ambao wana uwezo wakunua mashuka ya kujifunika ila wao watoto hawawajali kabisa
Wewe hapo unayesoma uzi huu vipi wanao wanalala Mazingira mazuri ebu kakague chumba cha watoto uone