mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Nimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.