Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Umesoma uzi?
Umesoma uzi?
Nimesoma ila(pia uzi nimetoa mm), uzi huu unazungumzia jins ambavyo wazazi wa kike wanajivutia kila kwao ilihali wao wazidi kudumisha ile dhima ya mama ndo wa kupendwa...Umesoma uzi?
Na huo ndio ukweliWakina mama niwaswahili sana upenda kuchonganisha watoto na baba zao kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
ingekua kubeba mimba ndo kigezo cha kupendwa basi akina mama wote wangekua wanapendwa
Sio mama tu ni wazazi wote wawili ni Mungu wa pili
lkn, cjajua kama ni kwel kila mtu husema wazazi wote ni mung wa pili, weng wanadai mama ndo mungu wa pili, me hua nawashangaa sana..Sio mama tu ni wazazi wote wawili ni Mungu wa pili
{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
me naweza amini unachosema kuwa ni kweli kwa kuwa me nlikuwa na mama pekee ake, na kwa hawa waliokuwa na wazazi wote na wao pia ni hv HV kama sisi
kumbe sisi wazazi wa.kiume ni wakuda!!?MAMA ni MLEZI NA MFICHA MAOVU YA MTOTO,,,wewe DINGI akupende nani wakat ni MKUDA?
Sent using Jamii Forums mobile app
ingekua kubeba mimba ndo kigezo cha kupendwa basi akina mama wote wangekua wanapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app