Modrizzy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 971
- 1,771
Raha ya kuwa dingi nikuwa mtata , sio unakuwa laini laini hatujui mama nan, baba nan
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha ya kuwa dingi nikuwa mtata , sio unakuwa laini laini hatujui mama nan, baba nan
iyo tume natumaini itakuwa imejitoshelezahadi tuunde tume ya kuandama, nipo ktk maabdalizi ya kujenga time ya maandamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha, alafu mkuu kale katabia ka baba kuwekewa lipaja la likuku alafu mama kula miguu ya kuku na kichwa hivi bado kapo!!
Ipo lakin sehem za village sanaAhahahaha, alafu mkuu kale katabia ka baba kuwekewa lipaja la likuku alafu mama kula miguu ya kuku na kichwa hivi bado kapo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan huwa tunafaidi maakuli ila ndo tunangekewa ya kutopendwa na watoto
kwa nn katoto kazuri!!? ama walikususa tangu ukiwa mtotoMimi kati ya mama na baba nani nitamchagua hakuna .
yaani wanadamu waabudu miungu dunia hii wapo wengi sana, mungu tusaidieMwanamke nikiumbe ambacho akijapewa upendeleo ata wakuzungumziwa kwenye vitabu vya dini Leo akawe mungu wa pili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa ya mwanamke ni pamoja Na kuzaa .Ni jambo ambalo lipo toka mwanzo wake .Ila kunawajinga wanaona kama nijambo Gani sijui .utasikia miezi Tisa tumboni sasa nani ambaye ajakaa tumboniyaani wanadamu waabudu miungu dunia hii wapo wengi sana, mungu tusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamin unachokisemaHakuna kama mama aisee,Baba alifariki wakati tukiwa wadogo sana,ila mama amepambana sana
Huwezi amini maana Wewe Si family member
pasipo baba hata mama usingemuona kamweHuwezi amini maana Wewe Si family member