RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,916
Mashoga hawavai mlegezo ata siku moja, wengine wanachomekea kabisa.
Mlegezo ni swagger tu za street, hii style ilianzia huko Marekani kwenye jela moja kuna mchiz nguo alizopewa baadae zilimpwaya akageuza style.
Nikimkuta mtu mzima amevaa mlegezo nitamshangaa,lakini hawa watoto was dotcom wala sishangai najua ni umri tu wakikua wataacha.