Kwanini watu wananiogopa sana?

Aisee.... Asante boss!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uhh??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sina tatizo, lakini tatizo linakuja pale watu wanapoonyesha kunyong'onyea hususani nikiwa naongea nao!! Wanapapatika sana kiasi kwamba najiuliza shida nini! Sauti yangu naiweka chini na nakwepa kutizamana nao machoni lakini bado wanatetemeka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia niko hivyo ,ila sioni shida sana,ni mkimya na nahisi watu wengi wanakosa kujiamini wanapokutana na watu wasioongea sana ndio maana wanakuwa kama wanakuogopa,ni mara chache kunikuta naongea sana,utani wangu pia una mipaka,sijilaumu kuwa hivi ila nimegundua pia kuna watu wanatamani kuwa kama mimi lakini kwakuwa ni swala la maumbile naona inakuwa vigumu kwao.Ninapokuwa na mke wangu au familia ni tofauti sana,ninaongea ninacheka na hata kutaniana ila nikiingia kazini au kwenye mchanganyiko wa watu hali inakuwa tofauti,sijui labda niko serious sana lakini naona ni kawaida..
 
Hata Magu kwa sura wala siyo ya kutisha mkuu..Ila anaogopesha sana watu..Matendo/nyendo/tabia yako mkuu ndiyo inatisha..

#Muungwana_John
Mimi ni mkimya na napenda kujifungia ndani muda mwingi! Kinachowaogopesha nini hasa maana hata mtu ninayekutana nae mara ya kwanza ananitetemekea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ukimwona mkuu was mkoa wa tabora kwa haraka haraka unaweza kusema huyu MTU katiri sana kutokana na sura ilivyo lakini mzee huyu nampenda sana ni mcheshi mzungumzaji mzuri ...kuogopwa sio sura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je. Hii ni kwa wanao kufahamu tu ama hata ukikutana na mtu kwa Mara ya kwanza?

Je.unafanya mazoezi na mwili wako umetuna?

Unafanya kazi ya aina gani? Ulinzi ama za computers kwa maana ya kutumia?
Mwili wangu ni mwepesi tu (athletic) na hata urefu wangu ni wa kawaida kabisa saizi ya kati! Umbo langu halitishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukawa upo poa lakini si mtu wa stori na watu. Ukiishi mazingira ya namna hiyo watu watakutafsiri upo serious sana. Matokeo yake asilimia kubwa ya watu watakuwa ni wenye kukuhofia/kukuogopa.

In short huchangamani na watu, ndipo tatizo lilipo.
uhh.. labda asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafanana na ww kwa hayo maelezo zaidi ya 80%. Mpaka wife anawezaje kuishi na mimi
 
Kama kwenye avatar, ww ni huyo wa katikati ,dah hata mimi napata hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…