Kwanini watu wananiogopa sana?

Kwanini watu wananiogopa sana?

May be uko serious sana..May be hauko politely the way you talk..May be unaongea kwa ukali ukali..may be uko stressed bila kujijua..may be una over confidence..may be mtaa wa unaokaa ww ndio unaonekana unavisenti..may be uoga wao tu..may be wenge lako tu kuonwa unaogopwa kumbe hamna lolote..may be stimu unazotumia unajiona kama Vandame..may be ..may be ..may be...

Sent using Jamii Forums mobile app
May be kaandika ameshalivuta, may be katoka kwa mama koku kuweka kakonyagi pori, may be anataka misifa, may be hajawahi ona ma handsome na watu wa kutisha zaidi yake maana anakaa Chato.
 
Mimi huwa siamini kama kuna mtu anakosa rafiki wa kuendana nae, haijalishi ni mtaa mmoja au mwingine...
Halafu usijitahidi kujibadili maana hakuna namna utakuwa ambayo watu hawatokuangalia negatively ...

Kama hayo maisha hayakudhuru bhasi haina shida; japo kuzoeana na jirani mmoja au wawili ni muhimu kwa maana jirani wa karibu ni bora kuliko ndugu aliye mbali hasa ukipatwa na chochote kibaya kama ugonjwa wa ghafla..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuogopwa ni suala la kiroho, UNA ROHO YA KUTIA HOFU, hata zamani kabla ya ustaarabu wa kikoloni , wale machifu walikuwa na roho hizo.. mtu akikaa na wenzake inatokeaa tu anachoongea watu wanshindwa kubishia. viongozi wa wakati huo walipatikana kutokana na nguvu za kiroho , mtu anaogopwa tu. mi niliwahi kuambiwa hata machifu kuwa na wake wengi ilitokanan na wanawake kuwaogopa hao watu kiasi kwamba inakuwa ngumu kumkatalia.
 
Ushauri wangu jipeleleze kama sio ww basi mtafute mtu wako wa karibu ambae angalau mnafahamiana kwa muda mrefu.Kama mkiwa background ya kusoma nae pamoja inaweza ikawa nzuri zaid.Ongea nae na mwambie akusaidie kwa kuwa muwazi na mkwel juu yako na vile ulivyo kwa kadir anavyokufaham (Kama utampata mtu wa karibu itakusaidia kukufanya usihis anaku judge pindi anapokuambia ukwel).
Trust me ,unaweza ukajiona mzuri au handsome kama unavyoambiwa lakin your impression usoni mwako ina matter sana.Namna unavyojiweka ukiwa unaongea au unamsikiliza mtu pia TONE ya sauti yako iko vp bila kujali.Tone yko inaweza ikaleta message tofauti kabisa bila kujal unaongea kwa upole auu unaongea kitu Positive, kama tone ya saut yako hujaweza kuijua na kui master always watu wataku misunderstand tu.
Binafsi nina issue kama yako but aleast kuna mtu alikua na guts za kunambia ukwel, a close frnd.Shida yangu hasa ilikua Tone ya sauti.Kwamba imekaa kiu shari shari sana.Kila nachoongea naonekana kama na judge /nabishana/ nagombeza.
Naweza kuongea kitu kama ushaur lakin knaapokelewa kama Command au instructions.
Shida ya pil ni kuwa huwa ni mtu wa kutafakar sana kitu hata kama ni kidogo hivyo mtu akinambia kitu ikawa inaleta picha kana kwamba nachambua sana mawazo yao au sikubalian nao mara moja kumbe ninakua na mambo yangu tu.Sikua mtu mwenye haiba ya kucheka cheka sana kwahiyo ikawa inawaletea tafsir watu kuwa nina dharau + am judgmental + a commanding person.
Trust me kwa type hii ya personality watu hawawez kuwa interested na ww automatically.Ikawa inawafanya watu wa interect na mm only where necessary.
Na kitu hiki nikaanza kukiona hata kwa mwanangu wa kwanza.
Thanks God nilijulishwa ukwel na nikaufanyia kazi and am enjoying the power of interaction with people.
HUJACHELEWA
 
Dalili za miwaya hizo.
Umepima utanesco wako hivi karibuni?
Majirani zako mpaka ndugu wanajua una transformer au wadudu wanao nyevuanyevua kwenye damu
 
Madame jibu lako ni sahihi, nyota ya simba yani mtu anakuwa anaogopwa mpaka mke anakuogopa watoto wakikuona hata maji hawanywi ila huwa inafifia kadri umri unavyosonga ukizeeka inaisha kabisaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha baba yangu , alikuwa anaogopeka .nikiwa binti kigoli wavulana walikuwa wanaogopa kunitongoza kisa baba yang,

Endapo kama tukihitaji mahitaji au pesa sijui ya bag la shule, sijui viatu tunaandika kimemo nakuweka katka meza ya chumban akirudi anakisoma na kukupa jibu.
Majiran wakitaka kitu nao wanaogopa ata kumface, kuna watu wanahisi mwanajeshi kumbe sio
Haikuwa rahisi kumface kumwambia kitu...
Nilikuwa nikipewa dawa kloroquine chungu natapika, akirud baba kwa uwoga akiongea tu inapita na sitapiki.
Akirudi zaidi ya salamu hakuna anayeweza kumfungulia mdomo,

Huwezi kuamini muda huu kazeeka tunaongea nae kama mshikaji wetu, na kumtania juu.
Huenda hii kitu inaukweli ukizeeka inapotea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam...

Mimi ni Kijana wa early 30's, nina urefu saizi ya kati, rangi ya maji ya kunde. Kwa asili mimi ni mtu mkimya SANA.

Nimekuwa niki experience namna ambavyo watu wanajawa hofu wakiwa karibu yangu... aidha watanisalimia kwa woga na kutetemeka, au wataonyesha ishara ya kunyong'onyea.

Watoto wadogo na vijana ndio balaa kabisa, wakiniona wanatetemeka sana huku wananiamkia haraka haraka.

Hii hali inanitesa sana maana hata kazini watu wananiogopa na wakiniona wanajisikia inferior sana. Nikianza kuzungumza kila mtu anaitikia kwa hofu. Wakati mwingine najaribu kukaa mbali na watu ili wasijisikie duni!

Ni nini hiki? Sidhani kama sura yangu inatisha maana mke wangu na baadhi ya wanawake huniambia mimi ni handsome! Kwahiyo naamini sura yangu haitishi!

What is this?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni ngumu sisi kukuambia sababu kwani hatujui unaonekanaje, itakua rahisi ukiweza kumshirikisha rafiki wako wa karibu au mfanyakazi mwenzako anaweza akakupa sababu.


andjul mzima bro?Kuna paragraph imenikumbusha ucheshi wako huku.
 
Umenikumbusha baba yangu , alikuwa anaogopeka .nikiwa binti kigoli wavulana walikuwa wanaogopa kunitongoza kisa baba yang,

Endapo kama tukihitaji mahitaji au pesa sijui ya bag la shule, sijui viatu tunaandika kimemo nakuweka katka meza ya chumban akirudi anakisoma na kukupa jibu.
Majiran wakitaka kitu nao wanaogopa ata kumface, kuna watu wanahisi mwanajeshi kumbe sio
Haikuwa rahisi kumface kumwambia kitu...
Nilikuwa nikipewa dawa kloroquine chungu natapika, akirud baba kwa uwoga akiongea tu inapita na sitapiki.
Akirudi zaidi ya salamu hakuna anayeweza kumfungulia mdomo,

Huwezi kuamini muda huu kazeeka tunaongea nae kama mshikaji wetu, na kumtania juu.
Huenda hii kitu inaukweli ukizeeka inapotea

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀 Chloroquine inashuka sio.Ila hii chloroquine nilikua siipeeeeeendi arrgggghhh
 
Back
Top Bottom