Kwanini watu wananiogopa sana?

Kwanini watu wananiogopa sana?

Mpaka boss wangu hapendi kunituma kazi za kiboya hata kama simkatalii kazi,na hajawahi kunizoea kabisa. Hata wafanyakazi wenzangu wote wananiheshimu hata kama wenyewe hawaheshimiani. Mpaka wife anaulizwa anawezaje kuishi na mimi. Hata wale walionizidi umri pamoja na majirani zangu nikisalimiana nao hujichanganya na kuniamkia. Hata malaya wanaojiuza mtaani huku wanaogopa hata kuleta shobo kwangu mimi nao wananiogopa. Kuna wakati mpaka najiogopa kwanini naogopwa?
 
Hujawah kuwa na akili hata 1
May be uko serious sana..May be hauko politely the way you talk..May be unaongea kwa ukali ukali..may be uko stressed bila kujijua..may be una over confidence..may be mtaa wa unaokaa ww ndio unaonekana unavisenti..may be uoga wao tu..may be wenge lako tu kuonwa unaogopwa kumbe hamna lolote..may be stimu unazotumia unajiona kama Vandame..may be ..may be ..may be...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanuka mdomo wanaogopa kuongea na wewe.
Jitahidi kunawa vzr na may be una Kikwapa kinachotema kiaina. Nahisi hivyo wanaogopa kuwa Kari u na kukuambia tena.

Tofa
 
Binafsi sina tatizo, lakini tatizo linakuja pale watu wanapoonyesha kunyong'onyea hususani nikiwa naongea nao!! Wanapapatika sana kiasi kwamba najiuliza shida nini! Sauti yangu naiweka chini na nakwepa kutizamana nao machoni lakini bado wanatetemeka!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok kikubwa ni kuwa huchangamani na watu hivyo, inakufanya kuwa stranger hata katika mazingira ambayo ulipaswa kuzoeleka.. Im somehow the same

Kama hata watu wasiokujua huwa hivyo bhasi una nguvu ambayo hujui kama unayo.. Maybe ni nguvu kubwa kuliko uwezo wako unavyouchukulia na pengine ukiijua ndipo utakuwa mwanzo wa kujijua zaidi (kujitilia shaka ni dalili ya kuwa hujijui vyema)..

Cha msingi tafuta kujijua na hili litakuwa rahisi kama utakaa na watu waliokuzidi kwa vitu vingi..Hii itaondoa hiyo hali ya kuwa tofauti na superior

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA

Habari za muda huu kwa mara nyingine tena

Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu

Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu

naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu

Nimezunguka sana kwenye viwanda, site za ujenzi ila naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...

Maana umri pia unakimbia, nisaidieni sana

Elimu yangu: Degree

Fani: CYBER SECURITY (ULINZI NA USALAMA WA MIUNDOMBINU YA TEKNOLOJIA)

Other Award: Diploma in computer science (SAYANSI YA KOMPUTA)

Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya

》Penetration Testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering

》ku-secure system kwa kutumia linux, DNS, na kwa kutumia cryptography

》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo

》Digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu)

》Computer Networking

》 System analysis and design

MSAADA WENU WAUNGWANA

MPAKA NIMEAMUA KUWAANGUKIA NDUGU ZANGU MNISAIDIE UJUE NIMESHAKATA TAMAA, MAANA

KULIKO KULIA PEKE YANGU, NIMEONA NIWALILIE WATANZANIA WENZANGU MNISAIDIE NDUGU ZANGU

NIMESHATAFUTA SANA KAZI, KUANZIA APPLICATION ZA ONLINE, MPAKA MANUALLY

NOTE: KAZI YEYOTE ILE NTAFANYA ATA KAMA NI NJE YA TAALUMA YANGU, NA NTAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA MNO

MUNGU WABARIKI SANA

NO YANGU: 0755836347
NAPATIKANA: DSM-MBEZI MSAKUZI

NISAMBAZIENI KWENYE MA-GROUP MENGINE NIPATE MSAADA
Mkuu kwa hii taaluma yako Kama unaiweza na unaibobea Vizuri kama ulivyoandika hapa usisumbuke Sana kutafuta ajira.

Tengeneza tatizo kisha kalitatue. Tayari utakuwa in the system ya ajira. Jipange shindua popote. Good luck!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa hajulikani wale wale mpaka leo hawajulikani
 
May be uko serious sana..May be hauko politely the way you talk..May be unaongea kwa ukali ukali..may be uko stressed bila kujijua..may be una over confidence..may be mtaa wa unaokaa ww ndio unaonekana unavisenti..may be uoga wao tu..may be wenge lako tu kuonwa unaogopwa kumbe hamna lolote..may be stimu unazotumia unajiona kama Vandame..may be ..may be ..may be...

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima kuna jibu hapo.....eti anajiona vandame
 
unatumia zile vitu mbili za Simba? ( kama hutumii una lijamaa mkuu, kauzu mnoo kama mimi, je mbwa wakikuona wanakimbia? je ushawahi kukutana na watu wakikuona wanabadili njia au ukipanda daladala kuna watu wanashuka wamechukia? mimi nilikuwa hivyo, ila mimi nilikuwa naona na wenge muda mwingine watu wanawaka moto mdomoni, ila nimepona mkuu, kuna bi mkubwa mmoja aliniambia ukitaka hayo yasikukute we fanya mambo ya kishenzi shenzi utakaa fresh...hivi niko fresh sioni wenge ila ilikuwa hata nikikutana na mbwa usiku anatoka nduki, vigagula vinabadili njia na kuna mitaa walikuwa wakinisema mtoto mdogoo ila mchawi, na kuna siku hata wife alipiga kelele usiku akisema nilimtisha, cjui nilimtisha nini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom