Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

Status
Not open for further replies.

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?
 
Kwa nini Tanzania ni maskini,wakati kuna kila fursa inayotakiwa kwa maendeleo kama tunavyosoma katika vitabu vya uchumi? Hili swali mtanzania namba 1, mchumi, asili yake Pwani hajui jibu lake. Baba wa familia hajui kwa nini tuko maskini,pamoja na kuzungukwa na washauri wasomi wa kila fani.
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?

Sio watu wa pwani, Watanzania kiujumla! Tanzania ni nchi ya watu maskini tu, usijidanganye eti watu wa 'bara' matajiri..
 
Hivi mna maana wengine waliobaki wanapata eggs and bread kila kukicha au
 
Kwa nini Tanzania ni maskini,wakati kuna kila fursa inayotakiwa kwa maendeleo kama tunavyosoma katika vitabu vya uchumi? Hili swali mtanzania namba 1, mchumi, asili yake Pwani hajui jibu lake. Baba wa familia hajui kwa nini tuko maskini,pamoja na kuzungukwa na washauri wasomi wa kila fani.

Umaskini umetokna na utekelezaji wa serikali na watawala. Umaskini upo popote na hata utajiri. Uwizi wa kodi na vipato vyote vya serikali kwa kiwango kikubwa vinaishia kwenye mikono ya mafisadi.
Leo hii kulitakiwa kuwe na mashindano ya bandari tanga, bagamoyo, DAR, hadi mtwara, Lakini meli nyingi zaishia Dar, TANESCO kama unavyo ona. Nchi kama Sweden umeme unauzwa na makampuni tofauti na mtu anajitahidi kuboresha ili apate wateja. Tuseme Tanzania imeshindwa kupata makampuni binafsi ya kuendesha TANESCO?
Kwa ujumla tuna hitaji elimu na uzalendo ili umaski upotee,
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?

Tumeendekeza Chini Sana Kula Bata Kwa Sana
 
Mshirikina ana sifa ya Kiburi na Ufisadi nk; kwa sababu ya uchawi wake !

Rejea Biblia ktk UFUNUO 2:2-10;
ISAYA 47:8-15]
 
Mshirikina ana sifa ya Kiburi na Ufisadi nk; kwa sababu ya uchawi wake !

Rejea Biblia ktk UFUNUO 2:2-10;
ISAYA 47:8-15]

kwahiyo unasema kuwa watu wengi wa pwani washirikina ndio sababu ya wao kuwa na maisha ya chini? sikubakiani na wewe kuna makabila washirikina kuwapita watu wa pwani lakini wanaendelea kila siku mkuu.
 
Unapozungumzia watu wa pwani unazungumzuia wakazi au wazaliwa wa Pwani popote walipo? Kwakukumbusha tu Mkoa wa Singida na Tabora ni masikini zaidi ya Pwani.

Cdhani km ni kweli pwani ni tajiri zaidi ya tabora au singida.... Jaribu kuvisit lindi, mtwara, tanga pangani ndio utajua unachomaanisha kumbe sicho


🙏🙏🙏🙏
 
Nijuavyo mm watu wa pwan wenyewe wanajimudu kiuchumi ila miundombinu yao ndio inafanya waonekane maskin kutokana na sera za serikali.Tofaut na uko ww ambako unakuona kuzur lakin asilimia kubwa ya wakaz wanalala njaa ss kipi bora kuwa na maghorofa makubwa yaliyojaa wahindi,wazungu,waarabu na waafrika wachache ilhali wazawa wanakufa njaa au kuwa na miundombinu ya lindi,mtwara,tanga yenye wakazi ambao wanakula milo mitatu
 
Wengi wa watu wa Pwani ni jamii iliyo toholewa kutoka jamii mama/kuu hivyo ni kama "hybrid" like , chunguza kwa umakini watu wa pwani .
 
Mji wa Dar es salaam,umeanziahwa na waarab,na ndio mji wenye maendeleo kuliko mji wowote Tanzania,miji walioishi wazungu wa kigalatia ni shida tupu,ukianzia Dodoma,wenyeji ni omba omba wa kutupwa,ukija Bukoba ni wakujiuza miili,ukija Morogoro ni vibarua wa mashamba omba omba kila kona,ukienda shinyanya ni vibarua wa mashamba,singinda njaa tupu.Tanga alipoingia Mjerumani aliitia umaskini sana.
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?

Swali la msingi hapa ni kwanini watanzania wengi maskini, sio watu wa Pwani. Dodoma, Singida, Tabora, Kigoma n.k. kote kuna masikini wengi huko.
 
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.

Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?

kujishughulisha kwao ni kwa vitu vidogo vidogo,uuzaji wa mihogo ya kukaanga,maandazi,barafu etc.bora wapate vijihela vya kula na siyo biashara zinazoweza kuwatoa kimaisha.pia wanaendekeza sana mapenzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom